David Jairo wa IKULU

Ukitazama efforts zilizofanywa na "projects in hand" za umeme utakuta tunakos a umeme kwa ajili ya watendaji wachache tu na si kuwa hakuna efforts, wazembe wachache ama kwa matamanio yao ama kwa kutowajibika ipasavyo ndio wanaichafua "system" na hizo bugs lazima ziwe eliminated one way or the other.

Matatizo tulio nayo ya umeme sasa hivi, sio kuwa hatuna mitambo ya kutosha kuondosha mgao au kumaliza kabisa hili tatizo, la hasha. Tatizo ni watendaji wabovu kama huyu Jairo wa wizarani na wengine pale Tanesco. Kuna habari za kuaminika kabisa (ushahidi nnao) kuwa baada ya sheria mpya ua umeme,kuna watu wametaka kuja kuwekeza kwa fedha zao lakini wamewekewa vizingiti pale wizarani, na nani? huyo huyo Jairo. kuna wawekezaji wamemuandikia email kuhusu kuwa na nia kabisa ya kuwekeza kwenye umeme, lakini hata kuwajibu hakuwajibu na hao watu anawajua na wameshafanya kazi hapa Tanzania (in the past). Kwa nini hajawajibu? kwa sababu alikuwa anajuwa akianza mawasiliano nao atakosa ulaji. Ushahidi nnao.

Tumeishachoshwa na malalamiko kwa wasaidizi, kama haya yote mnayajua, inakuwaje Jakaya hayajui.
Tatizo ni Jakaya
 
kama anazuia watu kumuona rais bila sababu za msingi he is right....rais ni mtu wa mwisho mkuu kuliko wote kwenye taifa ....sasa kama kila mtu atataka kumuona ..ni tatizo..hata hii kumpa blackberry awe anachat ovyo ,...system za nchi nyingine hazikubali...rais asome sms au hata email ambayo its not filtered...jaribu kufikiria pale rais anapopewa umbeya kwenye sms ..au email pasipo wasaidizi kujuwa na ikainfluence baadhi ya maamuzi nyeti ......huoni ni hatari!!!!.....hata bosi wa kawaida ana secretary ambaye kazi yake ni kuchuja mchele na chenga kabla ya kumpelekea bosi kitu safi afanyie kazi...

thats how system works...sasa mambo ya kuruhusu kandambili onyo ikulu hayapo hayo....,ni vema kama mtu anataka kumuona rais akamsubiri bagamoyo...au chalinze...Hata mwalimu walikuwa wakimsubiri msasani...,na mkapa walikuwa wakimsubiri upanga...au lushoto!!!

mambo ya kukaa feri job less kona na kwenda kula lunch ikulu ya magogoni kama yamerudi yapigwe vita na kina jairo!!!
Mkuu wewe tu umebaki haujala lunch ikulu, jipange uwemo na wewe, mwezi unaisha huu, au huoni!
 
GT thanks a lot for this post which you started in October 2009. wale wote waliokupinga wameona the true picture of DJ
 
Hivi kwa nini hawa wawili hawana ushirikiano kwenye kazi zao...maana saa zingine huwa nawaona kama vile DUMB & DUMBER lakini mmoja na hasa Jairo kwa nini amekuwa mjinga kama Salva?

Na la muhimu zaidi kwa nini Jairo unamwongopea rais kuwa WEBSITE si kitu cha muhimu au ndio unaleta uhuni wako kama wa mzee LUHANJO?

Hivi hii aibu mtaendelea kuitia aibu Ikulu mpaka lini?

8D6U2462.JPG




kaka ulioteshwa?

watu waliokupinga wote wameingia mitini

sasa kiko wapi?
 
Huyo David Jairo asikae bure wkt
analipwa mshahara bure, NASHAURI
APEWE VIPINDI VYA HESABU KATIKA
SHULE MOJA YA SEKONDARI
AFUNDISHE!
 
.............sasa siku hizi kwa nini usijenge kama rais mwenyewe.....ananunua designers brand...newyork ...just a blazer..for up to $4,000 per pc....acha vitu vingine...na anavijua viwalo..hamjaona east african ...he is considered among the african well dressed statesman...

Sifa ya kuvaa kuliko wengine kama wewe ni miss EAC ni nzuri sana lakini kama wewe ni Rais wa nchi hilo ni tusi.

Hebu mkumbuke Frederick Jacob Titus Chiluba alikuwa na kontena ngapi za suti, kumbuka akili yake na linganisha na huyu wetu.

Wote aina moja!

 
Back
Top Bottom