David Jairo wa IKULU

Labda kwa kuwa kuna urafiki,lakini kwa kitendo alichokifanya alipaswa kustaafishwa kwa manufaa ya umma!!
 
Jairo ni fisadi wa kutupwa, ana jumba la ajabu amejenga pale Ada Estate, mwaka mmoja baada ya Jk kuingia madarakani, anakula kodi, USD 8,000 per month!
Mh!nchi hii sijui kama ufisadi utakuja kuisha au kupungua,watu wengi sana wanapaswa kujivua gamba!!
 
Hivi kweli unaamini hayo ya kuanikwa wazi siri ya simu ya Obama kwa usalalam wake? Unanshangaza sana!

Obama ni addict wa BB, kama wamenyang'anya wamefanya la maana lakini hilo la kuonesha simu yake iko hivi na hivi ni pumba tu. Tazama hiyo simu uliyoionesha ina antennae iliyochomoza halafu tazama simu anayobeba obama kwenye picha zote haina hiyo antennae iliyochomoza, ndio maana nikakwambia hiyo ni pumba tu. Halfu mie sijaona BB yenye antennae iliyochomoza namna hiyo, unanini weyee?

Dada Faiza,
Acha ukali basi.....hata miye? Soma hapa ujue ukweli (au pumba :dance:) wa hoja yangu

Bill Clinton sent only two e-mail messages as president and has yet to pick up the habit. George W. Bush ceased using e-mail in January 2001 but has said he's looking forward to e-mailing "my buddies" after leaving Washington, D.C.

Barack Obama, though, is a serious e-mail addict. "I'm still clinging to my BlackBerry," he said in a recent interview with CNBC. "They're going to pry it out of my hands."
One reason to curb presidential BlackBerrying is the possibility of eavesdropping by hackers and other digital snoops. While Research In Motion offers encryption, the U.S. government has stricter requirements for communications security.

"Without more details I would have to say that putting sensitive or classified information on a BlackBerry is a risky proposition," said Greg Shipley, chief technology officer at Neohapsis, a governance, risk, and compliance consultancy.
Fortunately for an enthusiastic e-mailer-in-chief, some handheld devices have been officially blessed as secure enough to handle even classified documents, e-mail, and Web browsing.

The Sectera Edge, a combination phone-PDA that's been certified by the National Security Agency as being acceptable for Top Secret voice communications and Secret e-mail and Web sites.(Credit: General Dynamics).One is General Dynamics' Sectera Edge, a combination phone-PDA that's been certified by the National Security Agency as being acceptable for Top Secret voice communications and Secret e-mail and Web sites. Through three separate interchangeable modules, it works with Wi-Fi, GSM, or CDMA networks, and is dust-proof, waterproof, and rugged enough to survive repeated 4-foot drops onto concrete. Physically, it's a chunkier second cousin to the Palm Treo 750, though with an additional LCD display below the keyboard.

The price is $3,350 with a two-year warranty, a princely sum that's reflected in the Pentagon-worthy price tags for accessories: a simple adapter for a lighter plug costs $100. (Never again should you complain about how much your civilian analogue costs.)
The Sectera runs a mobile version of Microsoft Windows, including versions of Word, Excel, PowerPoint, and Windows Media Player. The NSA claims that the installed versions of Internet Explorer, WordPad, and Windows Messenger are good enough for data that's classified at a level of Secret. Presumably the federal spooks have found a way to protect IE from the numerous security flaws that continue to plague the Internet's most popular browser.

The NSA declined to comment on Monday.
 
mbio za sakafuni................kanda2 kituna box sasa hiviii.kaa ulivosema...
but JK anajua kilichofanyika

Mwisho wa ubaya ni ubaya tu; na hakuna jambo lisilokuwa na mwisho hapa duniani. Jairo tumegundua kwa kiasi kikubwa amekuwa behind mateso wanayopata waTZ kutokana na kupenda kwake rushwa na ubinafsi wa hali ya Juu. Namshukuru Mungu sana amemwanika mchana peupe kwani yeye kwa sababu akili na dhamira yake ilishaoza kiutashi wa kutenda mema basi akatumia hiyo mbinu chafu, ya kitoto na kiuharamia kutaka bajeti ipite na waTZ wabaki gizani. Mungu amemwuumbua na sidhani kama rais atakubali kubaki na huyu mtu tena kwani imetosha na anatakiwa awajibishwe kwa mujibu wa sheria
 
Dada Faiza,
Acha ukali basi.....hata miye? Soma hapa ujue ukweli (au pumba :dance:) wa hoja yangu

Bill Clinton sent only two e-mail messages as president and has yet to pick up the habit. George W. Bush ceased using e-mail in January 2001 but has said he's looking forward to e-mailing "my buddies" after leaving Washington, D.C.

Barack Obama, though, is a serious e-mail addict. "I'm still clinging to my BlackBerry," he said in a recent interview with CNBC. "They're going to pry it out of my hands."
One reason to curb presidential BlackBerrying is the possibility of eavesdropping by hackers and other digital snoops. While Research In Motion offers encryption, the U.S. government has stricter requirements for communications security.

"Without more details I would have to say that putting sensitive or classified information on a BlackBerry is a risky proposition," said Greg Shipley, chief technology officer at Neohapsis, a governance, risk, and compliance consultancy.
Fortunately for an enthusiastic e-mailer-in-chief, some handheld devices have been officially blessed as secure enough to handle even classified documents, e-mail, and Web browsing.

The Sectera Edge, a combination phone-PDA that's been certified by the National Security Agency as being acceptable for Top Secret voice communications and Secret e-mail and Web sites.(Credit: General Dynamics).One is General Dynamics' Sectera Edge, a combination phone-PDA that's been certified by the National Security Agency as being acceptable for Top Secret voice communications and Secret e-mail and Web sites. Through three separate interchangeable modules, it works with Wi-Fi, GSM, or CDMA networks, and is dust-proof, waterproof, and rugged enough to survive repeated 4-foot drops onto concrete. Physically, it's a chunkier second cousin to the Palm Treo 750, though with an additional LCD display below the keyboard.

The price is $3,350 with a two-year warranty, a princely sum that's reflected in the Pentagon-worthy price tags for accessories: a simple adapter for a lighter plug costs $100. (Never again should you complain about how much your civilian analogue costs.)
The Sectera runs a mobile version of Microsoft Windows, including versions of Word, Excel, PowerPoint, and Windows Media Player. The NSA claims that the installed versions of Internet Explorer, WordPad, and Windows Messenger are good enough for data that's classified at a level of Secret. Presumably the federal spooks have found a way to protect IE from the numerous security flaws that continue to plague the Internet's most popular browser.

The NSA declined to comment on Monday.

Mkuu achana na huyo mother faiza foxy tuongelee mambo ya nchi yetu bana!!!!!!!!!!
 
Huyo kwisha huyo, huyo ndio fitna mkubwa na alikuwa akijulikana sema alishindikana, lakini sasa, kwisha.

Na tutaona mabadiliko ya dhati kule Nishati na madini.
Udini na uchama!leo naona uchama umewekwa pembeni,cha muhimu ni udini!duh,kazi kweli kweli!!
 
Tazama post #70 na 71 halafu useme ni nini hicho? na hizo picha useme kuwa nimezi photoshop mimi ili niwapoteze. Unanchekesha!

Off topic lakini FF unan'kosha na hizo "unanchekesha", "una nini weye". Nasubiri kusikia "babu uni hoo eee" muahahaha
 
JK atamtosa jamaa yake,kwa mamvi ninyoyaona wataishia kusema amestaafu kwa mujibu wa sheria
 
HTML:
kwa skendo hii itapona?,mbon JK alishindwa kumshikilia EL wakati ule?,aajibike huyu!

Nimebaki najiuliza sana toka jana, hivi inawezekanaje Katibu mkuu aandike barua ambayo Waziri wake hana taarifa nayo?
Hivi anayesoma bajeti bungeni ni katibu mkuu au waziri? kama moto wa bungeni nani anaupata zaidi kama si waziri?
Majibu ya maswali yangu ni kwamba Katibu ni wajibu wake kutenda yale anayoagizwa na Bosi wake na kwamba si katibu pekee kaitenda hii dhambi bali na waziri kashiriki kikamilifu na lazima alikuwa anajua kuhusu huu mshiko.
Hatuna utamaduni wa kuwajibika, lakini kwa hili, Waziri husika, waziri mkuu walitakiwa kujipima wao wenyewe kisha waachie ngazi.
 
8D6U2462.JPG
[/QUOTE] jairo ndo yupi kati ya hao.
 
Mficha maradhi kweli kifo kitamuumbua! Duuh! I am wondering, hivi siku hizi ikulu wanaingia kama waajiriwa watu wenye uwezo na mbinu gani? Hizi hizi mbinu za short cut zenye matatizo makubwa kuliko faida ambazo Jairo anazitumia? No way sisi kama Taifa tutafika tunakokwenda kama watu wa aina hii ndio wamekaa sehemu Takatifu kabisa ya Taifa letu..what they think and do is not what we want them to think and do on our behalf! Ila kama nilivyoanza kusema hapo juu, ni suala la muda tu....mficha maradhi kifo kitamfichua!!!
 
Nimebaki najiuliza sana toka jana, hivi inawezekanaje Katibu mkuu aandike barua ambayo Waziri wake hana taarifa nayo?
Hivi anayesoma bajeti bungeni ni katibu mkuu au waziri? kama moto wa bungeni nani anaupata zaidi kama si waziri?
Majibu ya maswali yangu ni kwamba Katibu ni wajibu wake kutenda yale anayoagizwa na Bosi wake na kwamba si katibu pekee kaitenda hii dhambi bali na waziri kashiriki kikamilifu na lazima alikuwa anajua kuhusu huu mshiko.
Hatuna utamaduni wa kuwajibika, lakini kwa hili, Waziri husika, waziri mkuu walitakiwa kujipima wao wenyewe kisha waachie ngazi.

Hili suala ndio Ndugu Godbless Lema alitaka kupata mwongozo wa spika, lakini kama kawaida spika akatia siasa za kutosha..eti ilo suala jana lilifungwa kwa kusubiria waziri mkuu azungumze na bosi wake...lakini kiukweli jana waziri mkuu aliongelea suala la katibu mkuu tu bila kuwataja waziri na naibu wake!!

Kiukweli waziri na naibu wake nao wanapaswa kuwajibishwa! Pia kama rais nae alihusika nae awajibike! (Kwani katika barua ile, rais ndie alikua akitoa maagizo; hii ni kwa mujibu wa msomaji wa barua ndugu Shellukindo; ingawa msomaji alijaribu kumtetea rais kwa kusema anatumiwa vibaya. Lakini, je, kama ni kweli rais alitoa maagizo hayo!?)

Na Geological Survey of Tanzania, nao wanapaswa kuwajibishwa, kwanini wakubali akaunti yao itumike kwa ajili ya deals zisizo na kichwa wala miguu. Inawezekana ndio maana wiki moja kabla ya bajeti ya wizara, na siku bajeti iliposomwa na ilipojadiliwa, GST palikua pako busy mpaka usiku!! Inawezekana walikua wanashughulikia masuala mbalimbali ikiwa pamoja na kutoa hizo pesa za uwezeshaji ​ili bajeti ipitishwe bila kupingwa!
 
Huyo kwisha huyo, huyo ndio fitna mkubwa na alikuwa akijulikana sema alishindikana, lakini sasa, kwisha.

Na tutaona mabadiliko ya dhati kule Nishati na madini.
Hii nchi nani sasa anawezekana maana kila "mbabe wa kivita" akifuja mali ya umma tunasema kirahisi tu, ameshindikana!!!
 
Back
Top Bottom