Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Hivi kwa nini hawa wawili hawana ushirikiano kwenye kazi zao...maana saa zingine huwa nawaona kama vile DUMB & DUMBER lakini mmoja na hasa Jairo kwa nini amekuwa mjinga kama Salva?
Na la muhimu zaidi kwa nini Jairo unamwongopea rais kuwa WEBSITE si kitu cha muhimu au ndio unaleta uhuni wako kama wa mzee LUHANJO?
Hivi hii aibu mtaendelea kuitia aibu Ikulu mpaka lini?
Na la muhimu zaidi kwa nini Jairo unamwongopea rais kuwa WEBSITE si kitu cha muhimu au ndio unaleta uhuni wako kama wa mzee LUHANJO?
Hivi hii aibu mtaendelea kuitia aibu Ikulu mpaka lini?