capacity 0GB
Member
- Jul 6, 2020
- 43
- 52
- Thread starter
- #81
Weeee subiri uone...hawajui majina ya watia nia yanachujwa kwanza. Atakuja kwenye kura za maoni jina lake halimo.Jina lake limekatwa before hajarudisha form End.
Weeee subiri uone...hawajui majina ya watia nia yanachujwa kwanza. Atakuja kwenye kura za maoni jina lake halimo.Jina lake limekatwa before hajarudisha form End.
Yatampata makubwa zaidi siku zinakuja.Kikubwa kilichomponza ni laana ya wale wote aliopata kuwafanyia mabaya ikiwemo tukio la kwenda Dodoma na akina cyprian Musiba Le mutuz na wengineo akina Nyaulingo na Heri kisanduku wakamtandika risasi Tundu lisu, na kibaya zaidi anamtumia Le mutuz kubwa jinga kama mshauri wake mkuu, na kwenda huko Kigamboni ni ushauri wa Le mutuz ili apate pesa za kusimamia kampeni yake, Daud Bashite kapotoshwa na wapambe njaa japo ana laana nyingi toka kwa wote aliowafanyia mabaya
hili neno la "moto" kwa kizungu uliloliandika halipaswi kutanguliwa na prefix "ni" .... ni matusi matupu umeandikaMakonda waziri wa ulinzi ahele umwoto, ni fireeeeeeeeeeeeee, au spika wa bunge
Mzee Mara nyingi tu anakula matapishi yakeUnataka kusema rais atakula matapishi yake? Subiri uone...
Mtu kama huyu utasema ana akili timamu kichwani? Au ni kufikiri kwa kutumia minyoo. Ubongo uliojaa minyoo ya nguruwe.Le mutuz kala advance anaenda kuleta utitiri wa waganga wa kienyeji wa kutosha mpaka wahakikishe Bashite anakuwa mbunge na waziri tena wizara zenye vyombo vya dola hawataki wizara zingine
Makonda asipopata ubunge au akiwa raia tu wa kawaida, nini kinaongezeka kwenye maisha yako ya kila siku.
Hii ni moja ya kauli za kizembe na kijuha kuwahi kutokea duniani.Makonda asipopata ubunge au akiwa raia tu wa kawaida, nini kinaongezeka kwenye maisha yako ya kila siku.
Wengine wametumia msemo maarufu Wa mjini wa siku hizi, "Mwana kulitafuta, mwana kulipata".
Lakini wengine wameenda mbali zaidi na kukumbuka maneno aliyoyasema Gwajima kanisani kwake kwamba "Nimemfuta Daudi Albert Bashite kwenye uongozi na siasa hapa Tanzania mpaka atakapokuwa ametubu". Hata wale ambao waliyapuuza yale maneno wameanza kuamini kumbe maneno ya mtumishi wa Mungu yanaweza kumpata mtu
Wengine wanajiuliza inawezekanaje rais atoe onyo kwamba wateule wake walidhike na nyadhifa walizopewa halafu mtu akapuuza? Kwamba imekuaje mpaka akapuuza maneno ya rais? Na kwamba labda ile laana ya Gwajima imemfanya asahau.
Wachambuzi wengine wamesema, wakati wa uongozi wake, ilikuwa akipatwa jambo anaenda kuomba kanisani wamwombee na kulia machozi huko, sio mara moja. Sasa kwa sasa ni raia wa kawaida, je ataenda kumlilia nani?
Kwako Mwalimu Kashasha.
View attachment 1508501
Wewe akili huna au unaona sentimita moja tu mbele ya macho yako.HAYA MAMBO YAMEPANGWA YAKAPANGIKA.
Pambana na hali zako.Hii ni moja ya kauli za kizembe na kijuha kuwahi kutokea duniani.
Peace is formed from withinpeace
Wewe ukisikia kibaka mkabaji mtaani kafa au kafungwa nini kinaongezeka katika maisha yako?Makonda asipopata ubunge au akiwa raia tu wa kawaida, nini kinaongezeka kwenye maisha yako ya kila siku.
Acha hilo, hata ukimshika kalio anachoweza kufanya ni kwenda polisi na kufungua shtaka LA kudhalilishwa kwa taratibu za kawaidaKwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kumpiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Daudi Albert Bashite ndiye Mbunge wa Kigamboni.Kikubwa kilichomponza ni laana ya wale wote aliopata kuwafanyia mabaya ikiwemo tukio la kwenda Dodoma na akina cyprian Musiba Le mutuz na wengineo akina Nyaulingo na Heri kisanduku wakamtandika risasi Tundu lisu, na kibaya zaidi anamtumia Le mutuz kubwa jinga kama mshauri wake mkuu, na kwenda huko Kigamboni ni ushauri wa Le mutuz ili apate pesa za kusimamia kampeni yake, Daud Bashite kapotoshwa na wapambe njaa japo ana laana nyingi toka kwa wote aliowafanyia mabaya
Makonda is neither Kibaka nor mbakaji.Wewe ukisikia kibaka mkabaji mtaani kafa au kafungwa nini kinaongezeka katika maisha yako?
Ukipata jibu nitag!