Nakubaliana na wewe, japo tunatofautiana mitazamo.Mtarajiwa baraza la mawaziri lijalo ,hutaki unaacha
Le mutuz kampelekea Bajeti leo wanaijadili ni pesa za kwenda kumletea waganga wa kienyeji toka mataifa mbalimbali Duniani wakiamini watamsaidia kurejesha imani toka kwa mtukufu na kumsaidia kupora jimbo kisha kuwa mbunge pasipo kujali kuwa siyo chaguo la wapi kura, wakimaliza hapo inafanyika kazi mpya ya kuhakikisha Daudi Bashite anakuwa waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora au waziri wa mambo ya ndani au hata waziri wa Ulinzi hataki wizara isiyo na chombo cha dola, anazitaka wizara nyeti pekee na endapo itashindikana anataka awe Naibu spika baada awe spika kamili, hizi ni ndoto na malengo ya Bashite kwa mujibu wa msiri na mashauri wake mkuu Le mutuz.Jamaa kuwa mkuu wa mkoa ilikuwa ndio position nzuri kwake kujidai
Huku anakokwenda sidhani Kama atafunika
Na Kuna wale alliwaumiza kwa "mitikasi" Yao hawajamsahau na "hawatamsahau" kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ameajiri walinzi wakali anazunguka nao saa zote awapo mitaaniKwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kupiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kusema rais atakula matapishi yake? Subiri uone...Mkuu, ujue hapo unamzungumzia Waziri wa Mambo ya Ndani ama Ulinzi ajaye endapo CCM itabahatika kubakia madarakani.
Yafaa afunguliwe kesi kwenye mahakama za uhalifu wa kimataifa The Hague siyo kwenye mahakamaccm ambapo atayumbisha kesiBashite ana kila aina ya laana ya uchafu..
Huyu ni mhalifu kama wahalifu wengine tu..
Ni vile hakuna watu makini waliopata kukaa chini na kutengeneza kesi makini na kuipeleka mahakamani dhidi yake..
Ana kila tuhuna chafu..
Jizi la vyeti..mpaka tuhuma za kupora uhai wa binadamu wenzake..
Hukumu yake inakuja muda si mrefu..
Muuwaji mkubwa Bashite.
Mwana mbona una-mind sana...? Kama ulikuwa na tender ofisini kwake, pole sana. Ila maisha ni kupambana.Makonda asipopata ubunge au akiwa raia tu wa kawaida, nini kinaongezeka kwenye maisha yako ya kila siku.
100%Jamaa kuwa mkuu wa mkoa ilikuwa ndio position nzuri kwake kujidai
Huku anakokwenda sidhani Kama atafunika
Na Kuna wale alliwaumiza kwa "mitikasi" Yao hawajamsahau na "hawatamsahau" kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kupiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Le mutuz kala advance anaenda kuleta utitiri wa waganga wa kienyeji wa kutosha mpaka wahakikishe Bashite anakuwa mbunge na waziri tena wizara zenye vyombo vya dola hawataki wizara zingineUnataka kusema rais atakula matapishi yake? Subiri uone...
Kwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kupiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
😂 😂 😂 😂 😂Bashite ni laana ya nchi
hahahahahahah dahKwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kupiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]