Daudi Albert Bashite sasa utaenda kumlilia nani?

Daudi Albert Bashite sasa utaenda kumlilia nani?

Makonda is neither Kibaka nor mbakaji.

Tafuta relevant example.
Kauli ya Pompeo kuwa anazuia haki ya watu kuishi ni hatari zaidi kuliko kibaka au muuaji.
Au ulitaka nikupe swali kama 'muuaji akikamatwa'?
 
Huyu na gwajima watabaki n ile kazi yao maalumu ya kuratibu kile kikundi cha kikabila cha kumtetea rais
 
Makonda was born with a silver spoon, akampiga Jaji Warioba waziri mkuu mstaafu ,ndio kwanza akapewa shafu u DC Kinondoni na Raisi JK
Alipoingia mjomba Magu madarakani akamuongezea mkufu wa dhahabu kuwa RC wa jiji kubwa kuliko yote.
Sasa kaamua kuwania ubunge wa Kigamboni japo baba alifoka kupitia kwa Polepole lakini November haipo mbali kama si waziri wa Miundo mbinu basi atakuwa waziri wa mambo ya ndani.
Come 2025 ndie waziri mkuu au Raisi mtarajiwa.
 
Bashite asipopitishwa kupeperusha bendera ya CCM,au hata asipopitishwa Kama hatateuliwa kushika wadhifa wowote mkubwa nitahama Tanzania,endeeleni kuamini hajatumwa na mtu
 
Kikubwa kilichomponza ni laana ya wale wote aliopata kuwafanyia mabaya ikiwemo tukio la kwenda Dodoma na akina cyprian Musiba Le mutuz na wengineo akina Nyaulingo na Heri kisanduku wakamtandika risasi Tundu lisu, na kibaya zaidi anamtumia Le mutuz kubwa jinga kama mshauri wake mkuu, na kwenda huko Kigamboni ni ushauri wa Le mutuz ili apate pesa za kusimamia kampeni yake, Daud Bashite kapotoshwa na wapambe njaa japo ana laana nyingi toka kwa wote aliowafanyia mabaya
Rudia kwa sauti! Kwamba wahusika wa jaribio la mauaji ya Lissu!? Musiba yuko hili ni wazi mno! Nilishahamasisha operation piga musiba sikueleweka! Musiba ni wa kupiga ni lazima anahusika na mauaji. Tafuta Musiba au ndugu au mtoto piga!!
 
Makonda was born with a silver spoon, akampiga Jaji Warioba waziri mkuu mstaafu ,ndio kwanza akapewa shafu u DC Kinondoni na Raisi JK
Alipoingia mjomba Magu madarakani akamuongezea mkufu wa dhahabu kuwa RC wa jiji kubwa kuliko yote.
Sasa kaamua kuwania ubunge wa Kigamboni japo baba alifoka kupitia kwa Polepole lakini November haipo mbali kama si waziri wa Miundo mbinu basi atakuwa waziri wa mambo ya ndani.
Come 2025 ndie waziri mkuu au Raisi mtarajiwa.
Ndoto za alinacha....
 
Bashite asipopitishwa kupeperusha bendera ya CCM,au hata asipopitishwa Kama hatateuliwa kushika wadhifa wowote mkubwa nitahama Tanzania,endeeleni kuamini hajatumwa na mtu
Funga kabisa mizigo yako. Andaa na passport na nauli kabisa.
 
Mchezo wa kuigiza..., Watanzania ni wepesi Sana, wengi wao wanaamini mambo bila ya kuyafanyia uchunguzi.

Kuondoka Makonda Kama mkuu wa Mkoa wa Daresalam na kwenda kugombania ubunge Kigambiji ni mipango ya Magufuli kumpa uwaziri Makonda .
 
Ndoto za alinacha....
Katika Miaka 5 yalitokea mengi kuhusu Makonda,lakini ilikuwepo minongono hadi bungeni,wizarani,TRA,atatumbuliwa leo,atatumbuliwa kesho hadi akamaliza miaka 5.
Aliemteua ndiye huyo huyo aliempa ruksa ya kuleta ship hospital ya Jeshi la China badala ya waziri wa Afya.
 
Sasa huu muda ndio muafaka Manji akamshitaki Bashite [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom