dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,673
au kinyume chakeAnachanja mbuga tu.
au kinyume chakeAnachanja mbuga tu.
Mbona unaongea hayo wakati hata majibu ya kura za maoni hayajatoka?Wengine wametumia msemo maarufu Wa mjini wa siku hizi, "Mwana kulitafuta, mwana kulipata".
Lakini wengine wameenda mbali zaidi na kukumbuka maneno aliyoyasema Gwajima kanisani kwake kwamba "Nimemfuta Daudi Albert Bashite kwenye uongozi na siasa hapa Tanzania mpaka atakapokuwa ametubu". Hata wale ambao waliyapuuza yale maneno wameanza kuamini kumbe maneno ya mtumishi wa Mungu yanaweza kumpata mtu
Wengine wanajiuliza inawezekanaje rais atoe onyo kwamba wateule wake walidhike na nyadhifa walizopewa halafu mtu akapuuza? Kwamba imekuaje mpaka akapuuza maneno ya rais? Na kwamba labda ile laana ya Gwajima imemfanya asahau.
Wachambuzi wengine wamesema, wakati wa uongozi wake, ilikuwa akipatwa jambo anaenda kuomba kanisani wamwombee na kulia machozi huko, sio mara moja. Sasa kwa sasa ni raia wa kawaida, je ataenda kumlilia nani?
Kwako Mwalimu Kashasha.
View attachment 1508501
[emoji23][emoji23][emoji23]Subutuuu [emoji1787]
Mark this thread.Mbona unaongea hayo wakati hata majibu ya kura za maoni hayajatoka?
Unajuaje kama atashindwa!?
Mfuate uone cha mtema kuni!! Unafikiri ni mwenzako huyo!!Ulinzi wake ukoje kwa sasa huyo mbwa
Kwa hiyo kwenye sarakasi zote hizi JPM atakuwa amepewa limbwata au itakuwaje...Le mutuz kampelekea Bajeti leo wanaijadili ni pesa za kwenda kumletea waganga wa kienyeji toka mataifa mbalimbali Duniani wakiamini watamsaidia kurejesha imani toka kwa mtukufu na kumsaidia kupora jimbo kisha kuwa mbunge pasipo kujali kuwa siyo chaguo la wapi kura, wakimaliza hapo inafanyika kazi mpya ya kuhakikisha Daudi Bashite anakuwa waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora au waziri wa mambo ya ndani au hata waziri wa Ulinzi hataki wizara isiyo na chombo cha dola, anazitaka wizara nyeti pekee na endapo itashindikana anataka awe Naibu spika baada awe spika kamili, hizi ni ndoto na malengo ya Bashite kwa mujibu wa msiri na mashauri wake mkuu Le mutuz.
Hao wote ni wanyama wa aina moja. Kichaka chao kimoja watazama pamoja.Le mutuz ndiyo kamshauri Daud Bashite kila kitu kama Bashite atakuja kuzinduka baadae lazima atajilaumu sana
Makonda waziri wa ulinzi ahele umwoto, ni fireeeeeeeeeeeeee, au spika wa bungeWengine wametumia msemo maarufu Wa mjini wa siku hizi, "Mwana kulitafuta, mwana kulipata".
Lakini wengine wameenda mbali zaidi na kukumbuka maneno aliyoyasema Gwajima kanisani kwake kwamba "Nimemfuta Daudi Albert Bashite kwenye uongozi na siasa hapa Tanzania mpaka atakapokuwa ametubu". Hata wale ambao waliyapuuza yale maneno wameanza kuamini kumbe maneno ya mtumishi wa Mungu yanaweza kumpata mtu
Wengine wanajiuliza inawezekanaje rais atoe onyo kwamba wateule wake walidhike na nyadhifa walizopewa halafu mtu akapuuza? Kwamba imekuaje mpaka akapuuza maneno ya rais? Na kwamba labda ile laana ya Gwajima imemfanya asahau.
Wachambuzi wengine wamesema, wakati wa uongozi wake, ilikuwa akipatwa jambo anaenda kuomba kanisani wamwombee na kulia machozi huko, sio mara moja. Sasa kwa sasa ni raia wa kawaida, je ataenda kumlilia nani?
Kwako Mwalimu Kashasha.
View attachment 1508501
.Wengine wametumia msemo maarufu Wa mjini wa siku hizi, "Mwana kulitafuta, mwana kulipata".
Lakini wengine wameenda mbali zaidi na kukumbuka maneno aliyoyasema Gwajima kanisani kwake kwamba "Nimemfuta Daudi Albert Bashite kwenye uongozi na siasa hapa Tanzania mpaka atakapokuwa ametubu". Hata wale ambao waliyapuuza yale maneno wameanza kuamini kumbe maneno ya mtumishi wa Mungu yanaweza kumpata mtu
Wengine wanajiuliza inawezekanaje rais atoe onyo kwamba wateule wake walidhike na nyadhifa walizopewa halafu mtu akapuuza? Kwamba imekuaje mpaka akapuuza maneno ya rais? Na kwamba labda ile laana ya Gwajima imemfanya asahau.
Wachambuzi wengine wamesema, wakati wa uongozi wake, ilikuwa akipatwa jambo anaenda kuomba kanisani wamwombee na kulia machozi huko, sio mara moja. Sasa kwa sasa ni raia wa kawaida, je ataenda kumlilia nani?
Kwako Mwalimu Kashasha.
View attachment 1508501
Makonda asipopata ubunge au akiwa raia tu wa kawaida, nini kinaongezeka kwenye maisha yako ya kila siku.Amani na utulivu wa moyo
Sasa atakuwa mpanga foleni kwenye ofisi za maRC kupeleka matatizoJamaa kuwa mkuu wa mkoa ilikuwa ndio position nzuri kwake kujidai
Huku anakokwenda sidhani Kama atafunika
Na Kuna wale alliwaumiza kwa "mitikasi" Yao hawajamsahau na "hawatamsahau" kamwe
Thubutuuu yake[emoji86]Kwahiyo nikikutana na bashite leo si naweza hata kumpiga singi na asinifanye kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] We jamaa nina hakika Le mutuzi atakuwa alikuacha au kama wew ni mwanaume basi anakugongea mkeLe mutuz ndiyo kamshauri Daud Bashite kila kitu kama Bashite atakuja kuzinduka baadae lazima atajilaumu sana
Angalau angekuwa na tako kama lako angehimili[emoji28][emoji28][emoji28]Thubutuuu yake[emoji86]
Una hamu na risasi ya tako eeh