capacity 0GB
Member
- Jul 6, 2020
- 43
- 52
- Thread starter
- #121
Mwana kuliget...... 🙂Mwana kulifind.......
Mwana kuliget...... 🙂Mwana kulifind.......
Mpango wa Magu wa kumpa uwaziri bado upo?Mchezo wa kuigiza..., Watanzania ni wepesi Sana, wengi wao wanaamini mambo bila ya kuyafanyia uchunguzi.
Kuondoka Makonda Kama mkuu wa Mkoa wa Daresalam na kwenda kugombania ubunge Kigambiji ni mipango ya Magufuli kumpa uwaziri Makonda .
Sejui amugongee nanei? x 2Wengine wametumia msemo maarufu Wa mjini wa siku hizi, "Mwana kulitafuta, mwana kulipata".
Lakini wengine wameenda mbali zaidi na kukumbuka maneno aliyoyasema Gwajima kanisani kwake kwamba "Nimemfuta Daudi Albert Bashite kwenye uongozi na siasa hapa Tanzania mpaka atakapokuwa ametubu". Hata wale ambao waliyapuuza yale maneno wameanza kuamini kumbe maneno ya mtumishi wa Mungu yanaweza kumpata mtu
Wengine wanajiuliza inawezekanaje rais atoe onyo kwamba wateule wake walidhike na nyadhifa walizopewa halafu mtu akapuuza? Kwamba imekuaje mpaka akapuuza maneno ya rais? Na kwamba labda ile laana ya Gwajima imemfanya asahau.
Wachambuzi wengine wamesema, wakati wa uongozi wake, ilikuwa akipatwa jambo anaenda kuomba kanisani wamwombee na kulia machozi huko, sio mara moja. Sasa kwa sasa ni raia wa kawaida, je ataenda kumlilia nani?
Kwako Mwalimu Kashasha.
View attachment 1508501
Kwahiyo mnaamini hatoboi? Lazima atoboe, ipo wazi.
Tayari sasa rejea post yakohivi nyie wapiga ramli mbona hata mchakato wa kura za maoni bado?
Itabidi aliwazuru wengiVipi naskia jamaa bado analindwa na mapolice.
My friend, JPM angekuwa na mpango wa kumpa uwaziri angeweza kumchukua hvo alivyo na akampa uwaziri....... kwani kina Kabudi na Kitila na wengine alifanyaje? Makonda kuquit uRC kisa ubunge ni fatal mistake.Mchezo wa kuigiza..., Watanzania ni wepesi Sana, wengi wao wanaamini mambo bila ya kuyafanyia uchunguzi.
Kuondoka Makonda Kama mkuu wa Mkoa wa Daresalam na kwenda kugombania ubunge Kigambiji ni mipango ya Magufuli kumpa uwaziri Makonda .
hii picha kesho itakua front page
Kwa madudu aliyoyafanya Makonda kwa wadhifa aliokuwa nao, ilikuwa sio rahisi kwa Magufuli kumpa huyu jamaa uwaziri .My friend, JPM angekuwa na mpango wa kumpa uwaziri angeweza kumchukua hvo alivyo na akampa uwaziri....... kwani kina Kabudi na Kitila na wengine alifanyaje? Makonda kuquit uRC kisa ubunge ni fatal mistake.
Awe kupitia Viti maalum Ila wanakigamboni hatumuhitaji tumeheshimu kauli ya RAIS na mwenyekiti wetu waridhke na madaraka tuliamini RAIS alimaanisha na Mara zote Anamaanisha alichosema.Mtarajiwa baraza la mawaziri lijalo ,hutaki unaacha