Dar: Abiria wateseka kwenye foleni kusubiri mabasi ya mwendokasi Kituo cha Mbezi Mwisho

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Hali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600


Pia soma:

DART: Sababu ya uhaba wa mabasi ya Mwendokasi Vituoni, ni hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi, Pia mabasi ni machache

 
Kwa Dar es salaam hili jambo limekuwa shida na shida ya muda sasa, tulitumaini ujuio wa Mwendokasi ingekuwa unafuu katika usafirishaji wa abiria jijini hapa lakin imekuwa adha na shida kwa wasafiri wengi haswa muda wa asubui na jioni pale watu wakitoka na kwenda makazini.
 
Back
Top Bottom