Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,989
Hali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600
Pia soma:
DART: Sababu ya uhaba wa mabasi ya Mwendokasi Vituoni, ni hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi, Pia mabasi ni machache
Pia soma:
DART: Sababu ya uhaba wa mabasi ya Mwendokasi Vituoni, ni hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi, Pia mabasi ni machache
LATRA yasajili kwa muda daladala kuiongezea nguvu mwendokasi
Mimi nashauri mradi wa mabasi ya kibluu ufe kwani wameshashindwa, daladala zitumie barabara ya mwendokasi. Kwakuwa hayatakuwa yanakaa foleni, yatabeba watu wengi kwa wakati mfupi, kuliko kwenda kituoni na kusubiri mwendokasi lisaa lizima. Kimara wameshindwa, sasa watawezaje kuendesha njia mpya...
www.jamiiforums.com