Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Watu wanataka kuambiwa kama Mange " Watanzania hii game tutashinda, Trust Me" fvck this lady
Ulitaks aseme waTZ mtakufa?
Kuna mtu alijua plan ilikua shoot to kill??
Hakuna ubaya kuwa postive
Pia kila mabadiriko yana postivr na negative effect....
Change is inevitable
Huw? Mi sijui
Ila wakati ukuta huwezi kushindana nao!
 
Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!

mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!

Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!

"SHOOT TO KILL"

na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!

Watch out
Uko sahihi kabisaa, limedhihirishwa hilo jana.
Inaogopeshaaa
 
Ulitaks aseme waTZ mtakufa?
Kuna mtu alijua plan ilikua shoot to kill??
Hakuna ubaya kuwa postive
Pia kila mabadiriko yana postivr na negative effect....
Change is inevitable
Huw? Mi sijui
Ila wakati ukuta huwezi kushindana nao!

Mimi nimeongelea hapa, kwasababu Yoga anatoa info. za the otherside, na yanayo endelea.

Sasa kuna watu wanataka kusikia wanachotaka wao kama anavo sema mange wakati sio uharisia.

Mm mwenyewe ni pro - mabadiliko lkn the fact ni kua we must be ready to Die in order to stop SSH otherwise tufanye mambo mengine.
 
Mwenyewe leo ana cheeeka, ...........

😅😅😅👋 Kilikosekana tu kijora leo😅😂🤣.... Mmechambwa leo🤣🙏(jokes jamani msinune sasa)

Any ways Poleni wapendwa, Iko hvi jumamosi wiki hii tunaanza rasmi

Title ni " The shadow president"

uskose

Enheeee, nawakumbusha....... Safarii hii wamewapa na RPG 😂😂👋 WALE WAKAKI, (Jokes) Sema maelekezo ni asionekane mtu barabarani ana kitu kinaitwa ngoba, ni mwendo wa shoot to kill!!

Kama walivyo mpongeza kwa lakimbili security guard mmoja kwa kumimina za kutosha ndivyo wamehaidiwa zaidi, so watch out!! Stay safe ...

Baadae ntarudi Kuna kajambo kananikereketa sana!!
Ila shost unajua kutupa ya jikoniiiii, japo inaumizaa, ila wee tupee hivyo hivyo sasa tutafanyajeee?/
😢😭😢😭
 
Mimi nimeongelea hapa, kwasababu Yoga anatoa info. za the otherside, na yanayo endelea.

Sasa kuna watu wanataka kusikia wanachotaka wao kama anavo sema mange wakati sio uharisia.

Mm mwenyewe ni pro - mabadiliko lkn the fact ni kua we must be ready to Die in order to stop SSH otherwise tufanye mambo mengine.
Sawa sawa
Acha aue nchi nzima basi 😄
lets wait and see
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!

Hahahaha.

Hayo mambo yenu angalieni sana, Shake well before use.
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Unaeleweka, mtego ulikuwa wazi sana
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Vikosi kaz vya kimedani viingie kazini noma sana … hap ndio unasikia kitu inaitwa
To endure as a tyrant,
you need to do more than build a movement. You need to be the movement.
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Umenitisha kiongozi!
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Mmh
Im still figuring out....
Mbona km.mengine yanagoma?
KWamba aliyeko jela ndo alikuwa anafanyiwa km mchonga?

Anyway ngoja nisome maoni ya wengine
 
Back
Top Bottom