Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Ni Afrika mashariki pekee Ujasusi wa kiuchumi Unafanywa na Nguvu ya umma, tena vijana wadogo Gen Z wasiofatilia hata hizo siasa
Watu wanatumia upepo na mwanya wanapita nao kiukweli Tz tulikuwa tunapiga hatua watalii mwaka Jana tu Masupertar wa mambele kibao wamekuja Tz wakati Rwanda wanahangaika kumtangaza kwenye matimu kibao makubwa Ulaya kwa kutumia Fedha nyingi sisi nchi yenyewe ilikuwa inajitangaza . Na Vilevile Kasi ya miundombinu tulikuwa tunaenda 4G .

Kwenye michezo na Sanaa ndio kabisa Afrika Mashariki walikuwa hawanusii yaani sisi ndio tukawa tumekamata trend zote mpaka majirani wakawa wanafosi battle.

Mistakes zilizotokea majirani wametumia fursa haswa na Kupiga spana za maana mpaka sasa tumebanwa kila kona tunasubiri kupigwa KO tu mchezo uishe mapema.
 
Watu wanatumia upepo na mwanya wanapita nao kiukweli Tz tulikuwa tunapiga hatua watalii mwaka Jana tu Masupertar wa mambele kibao wamekuja Tz wakati Rwanda wanahangaika kumtangaza kwenye matimu kibao makubwa Ulaya kwa kutumia Fedha nyingi sisi nchi yenyewe ilikuwa inajitangaza . Na Vilevile Kasi ya miundombinu tulikuwa tunaenda 4G .

Kwenye michezo na Sanaa ndio kabisa Afrika Mashariki walikuwa hawanusii yaani sisi ndio tukawa tumekamata trend zote mpaka majirani wakawa wanafosi battle.

Mistakes zilizotokea majirani wametumia fursa haswa na Kupiga spana za maana mpaka sasa tumebanwa kila kona tunasubiri kupigwa KO tu mchezo uishe mapema.

Mkuu Majirani zetu sio Ndugu zetu ni Washindani wetu, Makosa yetu ndo point zao, Makosa yao ndo point zetu

Muhimu tunatakiwa kuchunga hatua zetu tusifanye makosa, Sio kuzuia majirani kutaka advantage ya makosa yetu
 
huwa nakuelewa sana jinsi unaongea ukweli japo wengi huwa tunapenda kusikia yale tunayoyataka na si vnginevyo..ili tuishinde hii vita tunaitaji akili na kutumia kila aina ya mbinu itakayo tusaidia..

Watu wanataka kuambiwa kama Mange " Watanzania hii game tutashinda, Trust Me" fvck this lady
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
Tithiii
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
Veterans wameingia mzigoni? I believe tunao powerful veterans huu mchezo wanaumaliza within 7 days wakiamua. Vikao 3 case closed
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
Please yoga hii isiwe ya kutuletea habari ambayo unahisi tungependa kusikia kutoka kwako!!! Sitaki kusubiri Meli Stendi ya Basi Tabora. Ukiwa na uhalisia inasaidia sana kujiandaa kisaikolojia. Please!!!
 
Please yoga hii isiwe ya kutuletea habari ambayo unahisi tungependa kusikia kutoka kwako!!! Sitaki kusubiri Meli Stendi ya Basi Tabora. Ukiwa na uhalisia inasaidia sana kujiandaa kisaikolojia. Please!!!i

The good part is : it has started and it's working,

The bad part is: it will take time....

The important thing is: be patient as now brains are working not emotions

CAUTION: to whom it may concern, "SHOOT TO KILL IS STILL THEIR PLAN" Watch out!
 
Back
Top Bottom