Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Huu ujumbe una ujumbe
 
Nimekopi kwa mtu hapa Jf

Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!

Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!

Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!

Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!

Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!

No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!

Nasubiri!
Unataka kulichonganisha kanisa na samia
 
Bite the scrotum of the killer na swallow them when possible ( hii ngoma mbona mbichi sasa) killers , fungeni chupi cha vyuma , watu wanajipanga kuondoka na kengele zenu pia,

Pastor Ng,ang,a wa Kenya hutumia msemo kwa waumini wake wa kiume ,kwamba nitawafunga tuvyutu vyenu ili mkiwaona wake zenyu mnabaki kutoa macho.
 
Hali ilivyo sasa, Economic standstill inawacost sana wazee wa mtandao madola kibao kupitia wawekezaji wao. Ninahisi wanawaza kusukuma kete kadhaa kubadili mchezo peacefully with minimal damage!

Sitashangaa wakiamua kumtoa sadaka Bi Kizimkazi ili kurudisha utulivu. Maana wanajua kuna watu wao wengi kwenye chain ya uongozi wa nchi. Wanaweza kufanya controlled demolition, wananchi wakashangilia, kumbe ni drafti linapigwa. Unapewa moja, unaliwa tatu!

Mark this post!
Bado naamini huu ndio uelekeo, drafti linapigwa!
 
Post na comment zake Yoga huchanganya ukweli na uongo,

aliwahi kusema Current CEO alikuwa na plan ya kumu Job Old CEO halafu angalia alivyopambaniwa na Old CEO tangu January 18, 2025 hadi Nov kula kiapo,

Halafu Yoga, secretary wa KJ anasema nyee nyee nyee anawindwa Old CEO,
Hivi Old CEO akianguka, Current CEO atakuwa na ubavu wakubaki kitini?
Mbona amekiri ss?
 
Sehemu
Post na comment zake Yoga huchanganya ukweli na uongo,

aliwahi kusema Current CEO alikuwa na plan ya kumu Job Old CEO halafu angalia alivyopambaniwa na Old CEO tangu January 18, 2025 hadi Nov kula kiapo,

Halafu Yoga, secretary wa KJ anasema nyee nyee nyee anawindwa Old CEO,
Hivi Old CEO akianguka, Current CEO atakuwa na ubavu wakubaki kitini?
Jumamosi utaelewa vizuuuuri, we ikifika saa SITA usiku cheki tu hewani
 
Hamuwezi kumpangia mtu bwana
Na nyie fungueni platfom zenu muongee tuwasikie
Tatizo mmekariri mnataka kumpangia mtu
Post na comment zake Yoga huchanganya ukweli na uongo,

aliwahi kusema Current CEO alikuwa na plan ya kumu Job Old CEO halafu angalia alivyopambaniwa na Old CEO tangu January 18, 2025 hadi Nov kula kiapo,

Halafu Yoga, secretary wa KJ anasema nyee nyee nyee anawindwa Old CEO,
Hivi Old CEO akianguka, Current CEO atakuwa na ubavu wakubaki kitini?
 
Back
Top Bottom