Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,638
- 4,183
Bila kuchapana sanaaa hapa hakutokuwa na kuheshimiana,kwa hapa tulipofika lazima tutoane machozi kwanza ili kila mmoja ajue HASARA ZA KUDHARAU WATANGANYIKA!!
Huu ujumbe una ujumbeNimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
Kaby ni mradi!!!mbali
Unataka kulichonganisha kanisa na samiaNimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
Bado naamini huu ndio uelekeo, drafti linapigwa!Hali ilivyo sasa, Economic standstill inawacost sana wazee wa mtandao madola kibao kupitia wawekezaji wao. Ninahisi wanawaza kusukuma kete kadhaa kubadili mchezo peacefully with minimal damage!
Sitashangaa wakiamua kumtoa sadaka Bi Kizimkazi ili kurudisha utulivu. Maana wanajua kuna watu wao wengi kwenye chain ya uongozi wa nchi. Wanaweza kufanya controlled demolition, wananchi wakashangilia, kumbe ni drafti linapigwa. Unapewa moja, unaliwa tatu!
Mark this post!
Mbona amekiri ss?
Jumamosi utaelewa vizuuuuri, we ikifika saa SITA usiku cheki tu hewaniPost na comment zake Yoga huchanganya ukweli na uongo,
aliwahi kusema Current CEO alikuwa na plan ya kumu Job Old CEO halafu angalia alivyopambaniwa na Old CEO tangu January 18, 2025 hadi Nov kula kiapo,
Halafu Yoga, secretary wa KJ anasema nyee nyee nyee anawindwa Old CEO,
Hivi Old CEO akianguka, Current CEO atakuwa na ubavu wakubaki kitini?
Kusema ukweli huwa sikuelewi maeneo mengine kama hilo na Sheikh Hasina kutaka kumu Koriba mwalimu wake wakati ndio nguzo anayoengemeaSehemu
Jumamosi utaelewa vizuuuuri, we ikifika saa SITA usiku cheki tu hewani
Lucas mwashamba atapongeza sana hata wakifanya kesho. Na kusifia kwa nin wamechelewa.Bado naamini huu ndio uelekeo, drafti linapigwa!
Vipi tutegemee bendera kupepea nusu ama tungoje ngoje....?Mmme mchanganya mpaka kaagiza macallan velario adami 1926 😂😂😂
Salazenu wandugu!!
Sasa inashuka kweli kooni...🤣🤣🤣🤣Mmme mchanganya mpaka kaagiza macallan velario adami 1926 😂😂😂
Salazenu wandugu!!
Post na comment zake Yoga huchanganya ukweli na uongo,
aliwahi kusema Current CEO alikuwa na plan ya kumu Job Old CEO halafu angalia alivyopambaniwa na Old CEO tangu January 18, 2025 hadi Nov kula kiapo,
Halafu Yoga, secretary wa KJ anasema nyee nyee nyee anawindwa Old CEO,
Hivi Old CEO akianguka, Current CEO atakuwa na ubavu wakubaki kitini?
Nimecheka sn jmnVipi tutegemee bendera kupepea nusu ama tungoje ngoje....?