Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Umeona mbaliKuna uwezekano mkubwa sana Saa 001 hayupo kwenye mpango, pengine anatumika tu. Inawezekana pia AR & KJ wanatumika tu.
Umeona mbaliKuna uwezekano mkubwa sana Saa 001 hayupo kwenye mpango, pengine anatumika tu. Inawezekana pia AR & KJ wanatumika tu.
Amka utajikojoleaUsikute hao wanaopiga kelele kulaani ndo wenye mpango wenyewe.
Hao ndo wanaweza kukomboa hii nchi Japokua TEC nao wahuni tu Kipindi cha Mkapa wangeweza kumshauri Mkapa atupe katiba mpya wakaishia kuchekacheka tu
Hatari sana! Huko TEC sijui nini kinaendelea maana ndio tumaini pekee sauti zote zikifeli.
Hiyo popote ni kwako. Catholic wana kashfa za kushiriki civil wars kwenye nchi mbalimbali. Hata Genocide ya Rwanda walitajwa kuhusika.Kuchukia ni haki yako. Popote duniani Catholic church ndio tumaini pekee pale umma unapokuwa hauna jinsi. Kama nao wakifeli hapo wote tunasubiri mkono wa Mungu mwenyewe.
Tunamtengemea babu akomboe hii Nchi akishidwa basi tumeisha....................................................................
"We are officially cooked"
....................................................................
Usimchukie YesuIla dini nimetokea kuichukia zaidi na kanisani hawata niona tena
Nimesema viongozi wa dini na dini yenyeweUsimchukie Yesu
Tunamtengemea babu akomboe hii Nchi akishidwa basi tumeisha
....................................................................
"We are officially cooked"
....................................................................
Babu ni BabuWho z babu?
Tumebakia kuwa watazamaji maana hata ukisoma huelewi. Na hata ukielewa kidogo akijaribu kufafanua unajikuta unapotea zaidi.Babe skuiz codes zako Zimekua Kuntu kumtanzi 🤪
So ... hata hili tumaini kwishneyMnacho ombea hakipo Kwa sasa ila baadae kipo
I once felt the same!AR & KJ wanatumika tu.
Kwasasa sioni mtu wa kuliweza kundi la msoga na wahuni. Kama na mabakamabaka wameshindwa tunatakiwa kuzoea tu mpaka Mwenyezi Mungu atakapoamua kuwachukua mmoja mmoja kitu ambacho nacho ni kigumu.Tunamtengemea babu akomboe hii Nchi akishidwa basi tumeisha
Too much truth puts sadness in your heart and madness in your mind.Amka utajikojolea
Hawa tunaowahukumu usikute tunahukumu bila kuujua ukweli wenyewe. Usikute wapo kwenye gereza lenye kuta zilizowashinda. Dunia imejaa siri nyingi sana.Weeeee unasemaje?
Akili zako zimelala (samahani lakini, nadhani sio tusi ila unapaswa uziamshe)Ni kweli ila kwa upande fulani ni wachochezi
Tuunganishe dots na ujumbe kutoka Moscow?....................................................................
"We are officially cooked"
....................................................................
Jicho la tai...Tuunganishe dots na ujumbe kutoka Moscow?