Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Unakumbuka 2015?
Pale mbowe alipoouza chadema na slaa kuhamisha Siri zote kupeleka ccm nikajua nchi Haina upinzani

Lema akavuta na kukimbilia Canada, sumaye na Lowassa wakaenda chadema

Baada ya muda chadema ikawa chakademus, mamvi na sumaye wakarudi kambani

Ikabaki chakademus and plier (baba dumbwi na domo)

Sasa imeku chakandumuz - domo kawa man alone
 
Once upon a time Nilidhani I humu ni home pf a great thinkers… I was roght then hasa between 2006-2015

Baada ya kifo cha chadwma na kusali wa chakandumuz… akili zetu huku wote zimefubaa

Tumeishia kuwa shallow, dramatic, wazushi na hisia kali bila depth ya uelewa

Yoga Bado ni relevant na what is happening now ni show ya intelijensia… ABD has nothing to do with Kikulacho

Kikulacho ni breathing space Kwa dreamers
sifa moja wapo ya GT nikuona pia mtazamo wa mwingine bila kuutweza
 
Pale mbowe alipoouza chadema na slaa kuhamisha Siri zote kupeleka ccm nikajua nchi Haina upinzani

Lema akavuta na kukimbilia Canada, sumaye na Lowassa wakaenda chadema

Baada ya muda chadema ikawa chakademus, mamvi na sumaye wakarudi kambani

Ikabaki chakademus and plier (baba dumbwi na domo)

Sasa imeku chakandumuz - domo kawa man alone
Ayatola wa Tanzania wa mchongo, muhuni muhuni, Fisadi baba wa mafisadi Tz kwa kumwongopa Edo na team yake alihamishia Dodoma makomando ili awe na ujasiri wa kumkata Edo,
Nadhani wazalendo wasipokuwa makini ndicho atakachokifanya
 
Kigugumizi on flick.......🤣🤣🤣

Kuhusu hili Mme sema hapa ... ngoja nimkaribishe mzeee ......🤣

Mzee: kwanza wachawi wamesha kufa (unamjua mchawi?) 🤣🤣🤣🤣🤣

Mzee tena: kuhusu UCEO Tukiamuaaa hata sasa ......... Naomba ........... Nyie Vijana msije na mabango ...🤣 Tunaogea mambo mazito mtulie kwanza .....🤣



🤣🤣 Ila Huu mwaka huuu wapendwa Kuna Raha sana!!
Eti Ayatolah wa Mchongo wa Tz,

Chawa wake Wanajidai kumpa jina la Master wa siasa ZT,
Hana lolote, Mwonga, mbinafsi, amejaa islafu.

Kwa kumwongopa Manywele kipindi kile alijaza makomando, Dodoma ili akifanya uhuni wake wa kukata jina akina Kigunge Gombare, Imma, Sofia na team yake wasifanye fujo.
 
Pale mbowe alipoouza chadema na slaa kuhamisha Siri zote kupeleka ccm nikajua nchi Haina upinzani

Lema akavuta na kukimbilia Canada, sumaye na Lowassa wakaenda chadema

Baada ya muda chadema ikawa chakademus, mamvi na sumaye wakarudi kambani

Ikabaki chakademus and plier (baba dumbwi na domo)

Sasa imeku chakandumuz - domo kawa man alone
Akili zako NDOGO
 
Eti Ayatolah wa Mchongo wa Tz,

Chawa wake Wanajidai kumpa jina la Master wa siasa ZT,
Hana lolote, Mwonga, mbinafsi, amejaa islafu.

Kwa kumwongopa Manywele kipindi kile alijaza makondo Dodoma ili akifanya uhuni wake wa kukata jina akina Kigunge Gombare, Imma, Sofia na team yake wasifanye fujo.
master kila ukifika mwaka wa ballot box huwa analose control + saizi umri umetembea amekua very impulsive
 
Back
Top Bottom