Eu wameomba matokeo yasitangazwe lets wait an seeSoon anatangazwa unless the unthinkable is done!! 🙊🙊🙊
Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni
Kwenye hiki kiwanda bwana,,,,, YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,
maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!
Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,
Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,
Poleni Jamii ya kiwandani
Tatizo aaislamu unaweza kuwahonga vitu vidogo tu wakafanya utakavyo. Huyu unaweza kuta kapewa mchele wa basmati na mafuta ya kula .Amani ya Nchi kwanza
We only have one enemy,i can say one enemy if we need a samson ti silence Goliath Thats all.Godbless US.Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni
Kwenye hiki kiwanda bwana,,,,, YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,
maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!
Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,
Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,
Poleni Jamii ya kiwandani
Who is 'babu'?Kumbe ujanielewa kipenzi sasa Narudia Tena na uwe na asubuhi njema
YEYE amesema hataki Tena kuwa HRO wa kiwanda!! ila YULE anesemekana ndio mmiliki wa kiwanda amesema hakuna kuacha akae hapo hapo apewe kiti Cha UHRO wa kiwandani na amesisitizs YEYE atangazwe sooon!!
Na amesema kuanzia leo watadhubiti mgomo kiwandani!!
YEYE atatangazwa sababu YULE amesema, na tayari bwana mtangazaji anayomatokeo ya YEYE.
Team babu wako wanapanbana kuanzisha phase two!
Namsubiri kwa hamu kubwayoga leo hujaleta ramli yeyote
Anza kushusha episodes basi tupunguze uchungu wa misiba😭😭😭 Bora hata, still God loves me!!
yoga asante sana, ingawa wengi wetu mioyo ina kidonda kibichi.Kwanza niwape pole sanaaa Tena Sanaa, mliopoteza ndugu zenu siku ya kuanzia tarehe 29 mpaka leo,
Pole nyingi sanaa kwa mnao uguza majeraha, Poleni sana,
Hongereni pia mliofurahia ushindi, na uhapisho wa kihistoria.
Niseme tu hakuna mahala imeamriwa mkipishana mawazo na mtu basi mmoja anayo haki ya kumjeruhi au kutoa uhai wa mwenziye
Sisi ni binadamu Kila mmoja ataingia kaburini, usijisifie leo wakati kesho yaweza kuwa ndio mwisho wako!! Usifurahie mtatizo ya mwenzako
Sasa taadhari yangu ni hii na msiipuuze
👉 Kama una Kijana unamfahamu ambaye alishiriki kwenye maandamano na Yuko hai, na sura yake Iko kwenye mitandao, mwambie sio wakati wa YEYE kutembea sanaaa mtaani na kupost Sanaa habari zake mtandaoni
For now( afute details and a keep it private) sometimes silence is the best weapon!!
#Tukutane December, #bado wiki nne
Madam yoga? Ijumaa uliwezaje kupost humu? Maana internet haikuwepo, hata ile ya kupitia Faber ilikuwa ni mara chache sana kufunguka tena kwa shiiida?Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni
Kwenye hiki kiwanda bwana,,,,, YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,
maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!
Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,
Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,
Poleni Jamii ya kiwandani
???Atakae waokoa wateja wa kampuni ni wateja wenyewe wawe tayari kwa lolote kama wateja ndio Hawa Hawa tulionao, basi jipeni poleeee wapendwa!!
December ni mwanzo wa kipi ??Tukutane December, #bado wiki nne
AiseeLakueleweka jiandae na mitano tena zingine ni kelele tu!!