Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni


Kwenye hiki kiwanda bwana,,,,, YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,

maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!

Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,


Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,

Poleni Jamii ya kiwandani
 
Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni


Kwenye hiki kiwanda bwana YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,

maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!

Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,


Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,

Poleni Jamii ya kiwandani
Yeye kwa nini asikatae kuendelea?
 
Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni


Kwenye hiki kiwanda bwana YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,

maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!

Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,


Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,

Poleni Jamii ya kiwandani
Bwana YEYE----> Mpango
 
"Kwenye hiki kiwanda bwana YEYE aliamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza"

Aliyeamua kupumzika ni Bwana Maplan na si mwingine.
Yoga anatumix. Mpango alishatoa huo msimamo zamani, mambo mengine yalishaendelea. Nilipoona ameandika "ameamua kupumzika" hii ni sentensi ya wakati uliopo nikajua ni huyu wa sasa

Mwenye kiwanda ni nani?
 
Poleni!! Ni usiku ila nawaataarifuni


Kwenye hiki kiwanda bwana YEYE ameamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza,

maelekezo ya meshatoka, YEYE atangazwe, despite yooooote yanayoendelea kiwandani!! na apewe nafasi yake kama HRO wa kiwanda!!

Mwenye kiwanda kashauri baada ya tangazo kubandikwa asitokee mtu yeyote wa nwynywi Wala nwyinywiiii,


Sasa team babu nao wanasema wanaenda phase two,

Poleni Jamii ya kiwandani
Tunasubiri wamtangaze.
 
Yoga anatumix. Mpango alishatoa huo msimamo zamani, mambo mengine yalishaendelea. Nilipoona ameandika "ameamua kupumzika" hii ni sentensi ya wakati uliopo nikajua ni huyu wa sasa

Mwenye kiwanda ni nani?
Kumbe ujanielewa kipenzi sasa Narudia Tena na uwe na asubuhi njema

YEYE amesema hataki Tena kuwa HRO wa kiwanda!! ila YULE anesemekana ndio mmiliki wa kiwanda amesema hakuna kuacha akae hapo hapo apewe kiti Cha UHRO wa kiwandani na amesisitizs YEYE atangazwe sooon!!

Na amesema kuanzia leo watadhubiti mgomo kiwandani!!

YEYE atatangazwa sababu YULE amesema, na tayari bwana mtangazaji anayomatokeo ya YEYE.



Team babu wako wanapanbana kuanzisha phase two!
 
"Kwenye hiki kiwanda bwana YEYE aliamua anataka kupumzika, YULE mwenye kiwanda anasema hakuna kupumzika na YEYE kaambiwa akae kimya wao wanajua Cha kufanya na hili watalimaliza"

Aliyeamua kupumzika ni Bwana Maplan na si mwingine.
Ameandika kwenye hiki kiwanda bwana,,,,,,YEYE... Wewe hujaelewa Ile bwana haihusiani na YEYE Ile bwana ni anazungumza nasi ya kwamba (Kwenye hichi kiwanda bwana ni kama amechoka mwandishi amevuta pumzi) sawa na kusema "Nikafika bwana Kisha nilipofika nikamkuta yeye..." Huelewi alama za uandishi?
 
Back
Top Bottom