Mzee wa kazi ngumu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 799
- 2,343
Kinachoendelea kwenye huu uzi ni ujazaji wa server za jamii forum hakuna la maana kabisa.
Naunga mkono hojaKinachoendelea kwenye huu uzi ni ujazaji wa server za jamii forum hakuna la maana kabisa.
Wakiongozwa na weweWajinga wamejaa kwenye huu uzi
Why here?The Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI), should become the Eastern and Southern African Management University (ESAMU), and all SADC member states should be members of ESAMU.
Kuna kipindi nilishamwamini sana TA akili kila alichokuwa anakisema kilikuwa kinatokea na nikaamini taifa lina deep state imara sana.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana...
- Tumia akili
- kodi kugombea marekani rais
- Replies: 1,088
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Kuna kipindi nilishamwamini sana TA akili kila alichokuwa anakisema kilikuwa kinatokea na nikaamini taifa lina deep state imara sana.
Ila tangu mambo ya hovyo yalivyozidi kuendelezwa na pengine kumzidi kwa mbali Magu kwanza nikaona hata Magu wa watu walimuonea tu kumuondoa maana angalau ukiondoa mapungufu kadha wa kadha huyo mtu alikuwa na uzalendo mkubwa kwa taifa na rasilimali zake. Yanayoendelea kwasasa nadhani hii nchi haina deep state wala usalama wa taifa, na kama hivyo vitu viwili vipo basi vipo kwa maslahi ya watafunaji wa rasilimali za taifa na si kwa maslahi ya taifa na vizazi vijavyo. Kidogo JW ni sehemu pekee angalau inaweza kuwa msaada kwa taifa na wazawa wake.
TA kwenye uzi wake wa Brother usiondoke niliweka matumaini makubwa kuwa angalau nchi inaweza kurudi kwenye misingi yake lakini ninavyoona uchaguzi utafanyika na huyu mama muuza nchi atajishindisha kwa kishindo na taifa litaendelea kuibiwa kwa kasi ambayo haikuwahi kushuhudiwa kabla. Na mlolongo wa urais wa kurithishana utaasisiwa rasmi.
Kikubwa na cha muhimu ambacho kitasaidia ni iwapo MO 29 itafanikiwa nadhani katika hili jeshi letu ambalo ndilo pekee limebaki na uzalendo lifanye kweli kupitia maandamano otherwise twafa.
Sasa inakuwaje DS inazidiwa nguvu na kikundi cha watu wachache wenye maslahi yao binafsi na wauza nchi basi hili taifa litakuwa na secret society za hovyo haijawahi kutokea.Hao wakina TA wamezidiwa kete na wahuni, ndio walio kua wanampa moyo pole pole watamlinda lkn ndo hivo kikaumana.
Sasa hivi naona wameona bora waunge mkono maandamano
Be ready to adapt the environment of worst case scenario!!! Lengo kuepuka depression.otherwise
Usife moyo..Kuna kipindi nilishamwamini sana TA akili kila alichokuwa anakisema kilikuwa kinatokea na nikaamini taifa lina deep state imara sana.
Ila tangu mambo ya hovyo yalivyozidi kuendelezwa na pengine kumzidi kwa mbali Magu kwanza nikaona hata Magu wa watu walimuonea tu kumuondoa maana angalau ukiondoa mapungufu kadha wa kadha huyo mtu alikuwa na uzalendo mkubwa kwa taifa na rasilimali zake. Yanayoendelea kwasasa nadhani hii nchi haina deep state wala usalama wa taifa, na kama hivyo vitu viwili vipo basi vipo kwa maslahi ya watafunaji wa rasilimali za taifa na si kwa maslahi ya taifa na vizazi vijavyo. Kidogo JW ni sehemu pekee angalau inaweza kuwa msaada kwa taifa na wazawa wake.
TA kwenye uzi wake wa Brother usiondoke niliweka matumaini makubwa kuwa angalau nchi inaweza kurudi kwenye misingi yake lakini ninavyoona uchaguzi utafanyika na huyu mama muuza nchi atajishindisha kwa kishindo na taifa litaendelea kuibiwa kwa kasi ambayo haikuwahi kushuhudiwa kabla. Na mlolongo wa urais wa kurithishana utaasisiwa rasmi.
Kikubwa na cha muhimu ambacho kitasaidia ni iwapo MO 29 itafanikiwa nadhani katika hili jeshi letu ambalo ndilo pekee limebaki na uzalendo lifanye kweli kupitia maandamano otherwise twafa.
Britannica nae aliendaga wapi?Huu uzi naona kama tulikuwa tunapangwa tu ili kutuliza makasiliko. Tumia Akili naye katuacha solemba maana siku kweishinei.