Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Ni mbingu zimesema au ni wewe mwenyewe?
Maana mwaka huu tunatembea na unabii maana ni mwaka wa yubilee
Trust me, it won't be what u wish now but letter on it will... 😂 Don't be confused with all these dramas, usije sema sikukiambia!! Tatizo hamuwajui vizuri hawa watu they are very good at maigizo!! December sio mbali
 
Kuku jaza which??? Where?? How?? What??? 😅.
Kuwajaza mimba kimjini mjini,,sema watu hawajaelewa michezo ya town political games. Hapo nachoelewa mtu anaingizwa mzima mzima then wazee wakijafyatua trigger sababu wanazo za ku comment maana itakuwa sio kujitetea Tena ni kutoa comments why so and so!!,,Hi michezo migumu zaidi ya Chess. Wacha tuone,michezo ya mjini.
 
Back
Top Bottom