A; Babu Babu hivi yule Kikubwa kikubwa alikuwa na team?
Kama alikuwa na team hiyo team ilikuwa inajua inashindana na team yenye nguvu kiasi gani?
B; Mjukuu wangu sisi watu wa vijiji vya ndani ndani kama huku Ngarash hatuna tunachokijua cha huko juu kaa kimya.
A; Babu nawe, wewe ni mtu wa ajabu sana unanitia hasira wallah,
Babu team yake kikubwa kikubwa ni team ya hovyo kwani ilipaswa iwe imejipanga kila idara, walipswa wawe watu wa ubaya ubwela, jino kwa jino,
Kwani Babu nao wangejibu mapigo kwa kumchukua Rixmoko, au Dullayo, au yeyeto ambaye ni papa kwa kutumia
GRU au M16, au ISI au Mossad,
Kisha sharti ni mwachieni Kikubwa kikubwa na sisi tumwachie Rixmoko laa hamtaki na sisi tunalala kiulalo ulao na huyu wenu, laa mmemficha na sisi twamficha huyu, mmemua na sisi ....
Babu wameshindwa nini kufanya hivyo?
B; Mjukuu wangu Tanzania ya 1986-2015 si ya sasa, ya Goswe mwachie Goswe.
A; oya babu kubuka wetu ni mtani wangu ila unazingua mtani wewe jua linakaribia kuzama kuna sisi na vitukuu wako kumbuka.
Halafu Babu hawa team kikubwa kikubwa walishindwa nini kumtumia yule M7 ili kuwasaidia mpambano naamini asingekataa?