Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,021
Duuh! Ama kweli Vioja haviishiMkuu mm natumia sim ya Tecno y3 nawezaje kuibadili kua Samsung j5??
Duuh! Ama kweli Vioja haviishiMkuu mm natumia sim ya Tecno y3 nawezaje kuibadili kua Samsung j5??
Huawei Y-535 ,, Inasema "sorry jamiiforum au opera mini is not responding" na inaacha kabisa kufanya kazi hasa kwa opera ndio kabisa mpk utoe betri , coz hata ukiizima bdo haizimiki, msaada pliz…!!Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde.
Pia weka ujuzi wako
Ndio haijizimiHaijizimi Mara kwa Mara?
Ndio ndio, ni mfumo wa uendeshaji ujulikanao kma OS (Operating System)android ni nini? bila shaka utasema ni mfumo endeshi na blah blah nyinginezo.
nataka kujua maana ya neno lenyewe ANDROID.
YesSub.
Nipo na hakuna sijuiMada Nzur Ila Mleta Mada Mmejipanga Au Mbwembwe Tuu
Bila shaka utakuwa umeshindwa setting basi nitumie screenshots ukifika kwa setting nikuelekezeNna sumsung j5 niya china ina lugha ya china nme shindwa kubadili lugha ....nmejarbu kubadili kweny setting lakn bado lugha inabak ya china
HaaaaaahaaaaUnazingua fala wewe Yan kama mimi niliyetoa maada sikujibu mbuzi wewe
Sawasawa majibu yako haya hapaKuna tofauti gani kati ya feature phone,java phone,symbion, Windows phone na hii Android??
umejiunga jumatatu unakuja kudanganya watu na kiblog chako uchwara!!!
dogo kuwa makini humu unaweza kupakatwa na tunaweza kukiangusha hicho kiblog chako muda wowote endelea kubwabwaja tu.View attachment 647636
Bonyeza allowMkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Hapo ni rahisi, restart simu yakoMm nikitaka kuset call ringtone simu inasema unfortunately android stopped.nifanyeje
Inaweza kubadilika kwa themes, keyboard, wallpaper, gallery lakin sio Ram, internal,Mkuu mm natumia sim ya Tecno y3 nawezaje kuibadili kua Samsung j5??
Nipo njema 100%Mkuu umejipanga kweli au unazingua tu?
Click allowMkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Asante kwa kumjibu vizur, ndo maana ya darasa hiliUnaclick tu hapo kwenye Allow umemamiliza
Sio majibuchukua maji nusu ndoo changanya na omo ya 200 hakikisha ya baridi iloweke humo ndani ya dk1 na sekunde 15,kisha itoe.
Hayo yanazuiliw yaani adsblock kwa kulipia app hyoTECNO W4 ina matangazo mengi mpaka kero
Unatumia aina gani ya WhatsApp na video huwa na mb ngap?Mkuu simu yangu inagoma kutuma video japo mimi naweza kupokea nikitumiwa Kwa whtasap has a video zenye dk kuanzia 2 TECNO W5 LIGHT