Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Software kiunganishi baina ya pc na simu.
(Elewa hivyo Kwa sasa )
Mkuu umesoma masuala ya computer au software kidogo...japo kidogo?
(Looks like am in trouble)[emoji20][emoji20][emoji20]
Hahaha! Nope sir, i got you. Sound driver, Bluetooth driver, Wi-Fi driver... Tuendelee kwenye mchakato
 
Hahaha! Nope sir, i got you. Sound driver, Bluetooth driver, Wi-Fi driver... Tuendelee kwenye mchakato
Let's say umeelewa vzr huko mwanzo..
Hatua ifuatayo ni kudownload firmware ya simu yako ambayo Kwa maximum itakua km 1.7gb (make it 2gb)..
Je unaweza kutekeleza hili..!?
 
Let's say umeelewa vzr huko mwanzo..
Hatua ifuatayo ni kudownload firmware ya simu yako ambayo Kwa maximum itakua km 1.7gb (make it 2gb)..
Je unaweza kutekeleza hili..!?
Hii naweza mkuu, labda utanitumia link ya website ambapo naweza pata firmware ya hii simu kwa urahisi...
 
Hii naweza mkuu, labda utanitumia link ya website ambapo naweza pata firmware ya hii simu kwa urahisi...
Sawa.
Ningekutumia lkn haitafanya kazi maana lzm ujiandikishe ndipo unakua na uwezo wa kudownload chochote.
Software zote utazipata Kwa kuingia www sammobile.com..
The rest utamaliza mwenyewe huko Kwa maana kuunda account,kusearch firmware ya sumu yako (SM-G935F)utarekebisha hapo km nimekosea.
Kisha ukiipata sasa tutakutana hatua ya mwisho ya kui upgrade simu tukitumia Odin baada ya kuinstall drive..
Upo na Mimi bado!?
 
Sawa.
Ningekutumia lkn haitafanya kazi maana lzm ujiandikishe ndipo unakua na uwezo wa kudownload chochote.
Software zote utazipata Kwa kuingia www sammobile.com..
The rest utamaliza mwenyewe huko Kwa maana kuunda account,kusearch firmware ya sumu yako (SM-G935F)utarekebisha hapo km nimekosea.
Kisha ukiipata sasa tutakutana hatua ya mwisho ya kui upgrade simu tukitumia Odin baada ya kuinstall drive..
Upo na Mimi bado!?
Nimekupata vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom