FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,556
Unatumia kivinjari gani au app gani?Simu yangu nimeweka memory lakini kila nikishusha nyimbo zinaenda kwenye sim nifanyeje ziwe zinaenda kwenye sd card
Unatumia kivinjari gani au app gani?Simu yangu nimeweka memory lakini kila nikishusha nyimbo zinaenda kwenye sim nifanyeje ziwe zinaenda kwenye sd card
Tumia mx playerNataka kudownload subtittle kwenye movie kwakutumia smartphone nafanyaje mkuu
Videoder is the bestTubemate
Acha mbwembweWaliweza kwasababu ya watumiaji walala hoi
Jaribu kutumia kingroot ikigoma njoo leta mrejeshoMkuu naomba unisaidie jinsi ya Ku root android (tecno c7)
Geographic location ndo tatizoMkuu Hapa bushi nilipo vodacom wamefunga 3G lkn baadhi ya smartphone zinashindwa kusaport 3G na ukiziweka 3G only zinakata kabisa network lkn simu hizi hizi zinazokata kusaport maeneo hayo ukitokanazo nakwenda maeneo mengine yenye 3G Zinasaport bila shida naomba msaada hapa tatizo litakuwa nini
Soma hpa smatskills.blogspot.comNisaidiwe na Mimi simu yangu Whatsapp inasumbua ,mfano . Ninaweza kuona notification kwenye bar ya juu ,na nikufungua sioni zile messages ambazo napaswa kuzifungua.
Kwa hiyo na wew hujui au unanifanyia kusudiSoma hpa smatskills.blogspot.com
Nimekup msaada kak, huridhiki???Kwa hiyo na wew hujui au unanifanyia kusudi
Kwa akili yako unaona umesaidia???. Usinilazimishe kupitia tatizo langu nipite kwenye ki-blog uchwara chako. Eleza unaelewa ,Mimi sikuomba msaada wa blog zinazojhusisha na masuala ya simu. I think now it's clearNimekup msaada kak, huridhiki???
Hpna mkuu, utaratibu upo hivi wadau waliomba kma kitu sikijui nielekeze mahali Pa mtu kukipata, kwahyo ndo nilichofanya, hyo sio blog yangu .Kwa akili yako unaona umesaidia???. Usinilazimishe kupitia tatizo langu nipite kwenye ki-blog uchwara chako. Eleza unaelewa ,Mimi sikuomba msaada wa blog zinazojhusisha na masuala ya simu. I think now it's clear
Rami ndo nini?Nikisoma maswali ya Wadau humu, nagundua kumbe watu wengi humu ni Vilaza wa kiwango cha Rami.
Hapana, bali huongeza ufanyaji kaz kwa haraka.Je kuna ukweli kuwa unapo factory sim I apunguza ubora Wa ufanyaji kazi kwa haraka plz nisaidie
Hi ni sehemu ya ku connect internet, divice+sim cardNaomba unielekeze jinsi ya kupatumia hapa ,nakama je naweza nkatumia hii sehem Ku speed up Internet?![]()
![]()
![]()
Kuongeza kas ya net ni weww kununua mitandao yenye spidi kwa eneo husika, pia divice zenye HSPDA yaani 4g, 3g.Naomba unielekeze jinsi ya kupatumia hapa ,nakama je naweza nkatumia hii sehem Ku speed up Internet?![]()
![]()
![]()