Daraja la Tanzanite upotevu mkubwa wa pesa ambazo zingetumika kuimarisha sekta ya afya tungeokoa maisha ya akina mama wengi vijijini

So wamewajengea mabalozi, Hakuna balozi aisie uswahilini
Sasa kama kiongozi wa chama kitaifa anakiuzia chama chake mwenyewe magari mabovu, na chakavu kwa bei ya dukani ili awahi kukusanya mpunga wa kwenda kula bata Dubai na familia yake, huku akiacha chama hakina hata ofisi ya kujitegemea hauoni kuwa tuna wanasiasa wa ajabu sana nchi hii. Just imagine viongozi au kiongozi wa aina hii awe raisi wetu hali itakuaje!
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Mtoa mada akapimwe akili kwanza
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Hata ile Flyover ya Mfugale imelenga kuwasaidia wakubwa wanaoelekea Airport au wakitoka Airport.

Ndio maana ipo ya Upande mmoja tu.
 
Ok kumbe ni fedha za msaada !sio kama nilivyoaminishwa kuwa ni fedha za ndani!loooo hili daraja lingejengwa pale jangwani walala hoi wengi wangenufaika zaidi!lile daraja litapitisha magari yasiyozidi 5k per day,lingejengwa Jangwani lingesaidia more than 20k cars kwa siku!but its ok huku Lingusenguse bado hatuna maji salama au umeme hadi leo.
Msaada wa S.Korea so huwezi wapangia unless gvt ndio ilichagua huo mradi.
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Kiongozi
Kwenye uchumi kuna kitu wanaita opportunity cost
Namaanisha unapokuwa na hela ambayo haitoshi kufanya vitu vyote kwa pamoja, ukifanya kimoja lazima kingine kibaki lakini haina maana hicho kilichobaki hakina umuhimu
Mf: Unaweza kupata hela kiasi ukianza maisha na ukute huna kitanda wala TV, kuna atakaye anza kununua kitanda na kuna atakaye anza na TV nk kiuchumi wote wapo sahihi
Ninachomaanisha ni kuwa, huduma za Afya ni muhimu, Maji ni muhimu, Daraja ni muhimu, kujenga masoko ni muhimu nk ila kwa kuwa hatuna hela ya kutosha vyote lazima kimoja kianze na kwa bahati mbaya huwezi kujenga nusu daraja; ila haimaanishi kingine sio muhimu
Kuamua kipi kianze huwa hakuna formula moja, hutegemea tu matakwa ya aliyepo kwenye nafasi ya maamuzi kwa wakati huo kama vile unavyo amua kununua TV mwingine aamue kuanza na Kitanda
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Mjinga tu huna akili.
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Sio kweli, fikiria vizuri na utueleze kama umeishawahi kushuhudia daraja la Salendar likijifunga nini huwa kinatokea kwa jiji la Dar. Usiwaze kwa kufikiria njaa, waza kwa tija za kiuchumi. Kuna wakazi wa Dar huwa wanatumia zaidi ya saa 12 kuvuka eneo hilo tu
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Huna akili nyumbu wewe, chuki na roho zako za korosho usizilete kwenye maendeleo ya watanzania.

Hata ndege mlipinga sana lakini leo nyie ndiyo wa kwanza kujazana humo hadi wengine wanakosa tiketi
 
Apo tusi danganyane suala la ujenzi wa miundo mbinu halina siasa, sasa kama hakuna barabara hao wajawazito watapita wapi kwenda mahospitalini??
 
Nchi haina vipaumbele, walipa kodi awashirikishwi juu ya matumizi ya kodi zao.
Matrekta ni muhimu kuliko ndege na yanazalisha uchumi mkubwa kuliko ndege ,yanarudisha pesa haraka kuliko ndege.
Soko kubwa lipo China lima, peleka chochote kule.
Kutwa kuwalaumu wazungu juu ya kushindwa kwetu, wakati wanasiasa ndio chanzo.
Hii ni shida ya kuwa na wabunge wa kupiga makofi, tungekuwa na wabunge kama wa ghana hakika isingejengwa
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Nonsense
 
Viongozi wa Chama na Serikali wako Dodoma. Masaki na Oyster bay wanafanya nini?
Kama mtu anaishi Bunju Tegeta etc atakuwa anajua umuhimu wa hili daraja, lakini michadema tangia mwanzo ni kupinga tu. Tatizo lilianza kujengwa wakati wa JPM tu
 
Unajenga daraja la bil 243 ili kurahisisha usafiri wa viongozi wa CCm kwenda kwao huko Osyterbay na masaki huku ukisahau kuwa kuna sekta ya afya ambayo bado ipo nyuma kabisa.

Vituo vingi vya afya havina vifaa tiba na watumishi. Ni majengo tu ambayo yanafugia popo. Na hata raia wengi vijijini wanatembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya. Sasa tungejenga kituo cha afya cha Bil mbili kwa hiyo Bil 243 tungepata vito vya afya kibao.

Hili daraja ni kwa ajili ya vibosile wa CCM ili wapate shortcut kufika Masaki no Oysterbay kwa urahisi. Hii ni Nonsense kabisa.
Hao matajiri wakubwa ndio walipakodi wakubwa. Je ingekuepo serikali ya majimbo ingekuwaje si Dar es salaam ingepata pesa nyingi kwasababu ndio city centre
 
Basi tusijenge barabara au daraja lolote kokote tupeleke afya kijijini.

Omba Mungu akunyime vyote lakini asikunyime akili.
Bado hoja yake ina mashiko, haiwezekani hata madarasa tuu tunayajenga kwa fedha ya mkopo wa covid halafu unatumia mabilioni kujenga daraja ambalo zaidi ya kupendezesha jiji haiondoi kero za msingi.
 
Tambua kuwa Masaki na Oysterbay ni maeneo ambayo ni makazi ya mabalozi, makazi ya MaCEO wa makampuni makubwa, kuna mahoteli makubwa...wanakaa think tanks wengi wa nchi hii....hawa ni watu muhimu ambao muda wao lazima uzingatiwe maana pia mchango wao kwa maendeleo ya Taifa hili ni mkubwa...
Wakaa think tanks???? Noooo
 
Back
Top Bottom