Walioenda kufukuza watu mbona wao awajapumzika makwaiMmeambiwa leo ni siku ya mapumziko kwanini mna vichwa vigumu
Walioenda kufukuza watu mbona wao awajapumzika makwaiMmeambiwa leo ni siku ya mapumziko kwanini mna vichwa vigumu
Mi najua inaposemwa siku ya mapumziko 100% inawahusu watumishi wa umma na taasisi kutokwenda kaziniMmeambiwa leo ni siku ya mapumziko kwanini mna vichwa vigumu
sorry but kiukweli. kuna watu wasipitoka hata siku moja familia haili kabisaa.
kuna watu hali zao ni tete sipotoka watoto hawaendi chooni. so yes kuna msiba lakin kuna familia zilizo na mahitaji.
Hakukuwa na katazo ila kuna wahuni inaelekea wakivizia kuiba tu ndo walitoa hiyo taharuki na kweli maeneo ya Agrey maduka ya jumla watu wameibiwa maana mtu mwingine alikuwa hajui kama anasaidiwa au lah kumbe watu wanatoka na vitu vyake alivyoweka mpaka njeKwa hiyo kitendo cha polisi kupita kutangaza kwamba watu wafungue kinaashiria kwamba kulikuwapo katazo la kufungua, maana siku zote watu huwa wanafungua tu bila kusubiri tangazo la polisi
na hili nalo lawama zote kwa John?
Siku hiyo japo nisingeweza kwenda kazini, walau ningeweza kula msibani.
Kisheria siku ya sikukuu au mapumziko huruhusiwi kufungua ofisi,duka au kiwanda ni Sheria tu mkuu,labda uhamie SomaliaKatika karne hii 21 taifa linaendeshwa kama enzi za ujima. watu wote tunalazimishwa kufikiri sawa, yaani wanataka woote tuhuzunike.
uyo ashaenda na maji hatawakisema tuomboleze miaka 20 hatorudi, akili zetu tuziweke kwenye mambo ya msingi ss hvi
niache kutafuta hela sababu ya msiba?😀😀😀😀😀😀 ulitumwa......
naendelea na kazi zangu nyumban nikisindikizwa na music lainiPole kwa kukimbizwa wamekosea mtu kafa lazima mengine yaendelee
Bora ujipumzikie wahuni wangeweza kutumia hyo fursa kufanya uhalifunaendelea na kazi zangu nyumban nikisindikizwa na music laini
We mjinga hujawahi uguliwa mgonjwa wa dialysis kila wiki. Elfu ishirini tu ikiingia ina maana kubwa.Cku moja mauzo gani??akivunjwa miguu atauza nn??funika kombe mwanaharamu apite...tutii shetia bila shuruti...mtuwache tumzike jiwe wetu kwa,amani ebooo
nani ana save 50 kwa mlalw hoi?Tunarudi kwenye saving hata kama unapata 1000 jitahidi 50 usave ili kwa mambo madogo kama haya usitetereke,
mhn! nipo mita zisizozidi 400 toka tukio linapofanyika na sijafunga ofisi na wala kuona watu wakilazimishwa kufunga japo utendaji si wasikuzote hata mimi nitafunga muda si mrefu lakini si kwa kulazimishwa bali siku imekaa kimsiba msiba tu.Katika karne hii 21 taifa linaendeshwa kama enzi za ujima. watu wote tunalazimishwa kufikiri sawa, yaani wanataka woote tuhuzunike.
Hii si sawa. watu woote hawa wamefika makazini hawajui cha kufanya baada ya kufika kazini na kuamlishwa kutawanyika. nakulilia Tanzania yangu.
Kwa akili yako ni sahihi maduka kufungwa? Siku ya msiba watu hawana mahitaji?Katika harakati za kupinga pinga. Yaanini ilimradi tu ionekane kuna dosari. Hamjawahi kuweka mema,ni utopolo tu. Upumbavu tu yani.
Holidays wafanyabiashara wamezoea kufungua maduka na hakuna alie wahi kuwazuiatoday is holiday, kwa kiswahili siyo siku ya kufanya kazi
ni kweli nilirudi kufuata kiatu changu nikakutana na maagizo ya askari maduka yafunguliweMimi ni fundi computer niko kariakoo mtaa wa Lindi na Msimbaz...
Kiukweli kuna habari zilizagaa ghafla kuwa kuna askari wanapita kukamata watu eti kisa wamefungua maduka na leo ni siku ya maombolezo ya kitaifa.. ni kweli watu tumefunga maduka Kariakoo lakini mimi binafsi sikutaka kupokea tu habari bila kuona maana kila unaemuuliza hakuna anaesema amewaona askari wakikikatama wala kufunga maduka zaidi utasikia nimesikia nimesikia...
Niliamua kwenda kituo Msimbazi kupata habari kamili na nikakutana na askari wawili mle ndani nikawauliza wakaniambia hakuna kitu kama hicho na wala wao hawajapokea oda ya kufunga maduka ya watu na wala hawajakataza watu tuendelee na shughuli zetu.
Sio sahihi kumlazimisha mtu apumzikeRais kashasema ni mapziko watu mnafungua biashara aisee wa tz bhana kazi ipo