Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,201
umetoka kukolewa saivi halafu unakuja mbiombio hapa..Ioshe vizuri kwanza ndo niigonge💪Endelea kulishwa!
umetoka kukolewa saivi halafu unakuja mbiombio hapa..Ioshe vizuri kwanza ndo niigonge💪Endelea kulishwa!
Mbona hawajashika fimbo ? Na mbona hawa wachapi raia sasa hapo ? Embu leta ishahidi mwingine hapana nashindwa kutoa hukumuwamevaa za kiraia
Maana yake makwaoMakwai maana yake nini?
Msimamo:Ioshe kwanza ndo nikugonge,amasivyo tafuta beberuNyie wajane kwanini mnapiga watu kisa msiba wenu ?
Stori ya uongo ila nyumbu kama mtoni huwa wanafuata aliembele bila kujaliKatika harakati za kupinga pinga. Yaanini ilimradi tu ionekane kuna dosari. Hamjawahi kuweka mema,ni utopolo tu. Upumbavu tu yani.
Naona umejiridhisha kwamba ilikuwa ni uzushi tuni kweli nilirudi kufuata kiatu changu nikakutana na maagizo ya askari maduka yafunguliwe
Ohh masikini mataga umapanic mnooo katikati ya msiba mzito uliokuacha mjane.Msimamo:Ioshe kwanza ndo nikugonge,amasivyo tafuta beberu
haukuwa uzushi ni miss communication kwenye jeshi La polisiNaona umejiridhisha kwamba ilikuwa ni uzushi tu
Mkuu punguza chuki kwa marehemu kwa afya ya mwili wako, mana kwa sasa aongezi wala apunguzi chochote kwako.hili shetani limekufa lakini bado mauza uza yake yapo mara watu wafe mara wapigwe wamzike haraka sana watu tuishi kwa raha
Msimamo ndo huo,kwanini umerudi likiwa linanuka zaidi mama?? Au lina kutu??Ohh masikini mataga umapanic mnooo katikati ya msiba mzito uliokuacha mjane.
Punguza jazba msibani.Msimamo ndo huo,kwanini umerudi likiwa linanuka zaidi mama?? Au lina kutu??
Anyway mimi sipo Kariakoo ila nimefungua ofisi saa nne asubuhi na nimepita mitaani sehemu nyingi tu wamefungua.haukuwa uzushi ni miss communication kwenye jeshi La polisi
walipita awamu ya kwanza na defender ya ffu wakiuliza kwa nini tumefungua biashara, ndo watu tukafunga na kuondoka,taharuki ilipozidi wakapita askari na pikipiki kuhimiza watu watulie na wafungue biashara zao.
Kayanza Mizengo Pinda Peter
saa nne ofisi zilikuwa wazi timbwili limeanza saa tano na dakika zake. walipita mara ya kwanz watu wakapuuzia wakijua ni utaratibu wao kupita.Anyway mimi sipo Kariakoo ila nimefungua ofisi saa nne asubuhi na nimepita mitaani sehemu nyingi tu wamefungua.