mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
WAZEE WA KURUKA NA BEAT.
kipindi kile mlikuwa mnasema wametumwa na marehemu sasa hivi wametumwa na nani?
kipindi kile mlikuwa mnasema wametumwa na marehemu sasa hivi wametumwa na nani?
Nyie wajane kwanini mnapiga watu kisa msiba wenu ?Katika harakati za kupinga pinga...yani ilimradi tu ionekane kuna dosari. Hamjawahi kuweka mema,ni utopolo tu..upumbavu tu yani
una akili timamu kweli?? sio wote tunaoomboleza na sio wote tunaohitaji kupumzikaRais kashasema ni mapziko watu mnafungua biashara aisee wa tz bhana kazi ipo
Hakuna mwisho wa hivyo.Mwisho wenu umefika rasmi
Endelea kulishwa!Katika harakati za kupinga pinga...yani ilimradi tu ionekane kuna dosari. Hamjawahi kuweka mema,ni utopolo tu..upumbavu tu yani
We nenda kalale usiongeze bia nyingine, naona umeanza kuandika 'shetia'Cku moja mauzo gani??akivunjwa miguu atauza nn??funika kombe mwanaharamu apite...tutii shetia bila shuruti...mtuwache tumzike jiwe wetu kwa,amani ebooo
Sio kweliSi mmeambiwa ni mapumziko
Mapumziko maana yake mkae nyumbani
una akili timamu kweli?? sio wote tunaoomboleza na sio wote tunaohitaji kupumzika
Wewe mataga watu wasipofungua biashara unataka waje kula hapo
Lumunba?
Wewe mataga watu wasipofungua biashara unataka waje kula hapo
Lumunba?
uyo ashaenda na maji hatawakisema tuomboleze miaka 20 hatorudi, akili zetu tuziweke kwenye mambo ya msingi ss hviUtapumzika kwa lazma amri ishatoka tayar
Sio kweli
Day waka asipofanya kazi leo atakula msiba!! Unafikiri wanapokea mwisho wa mwezi kama wewe ndugu
WAZEE WA KURUKA NA BEAT.
kipindi kile mlikuwa mnasema wametumwa na marehemu sasa hivi wametumwa na nani?