Dar: Maeneo ya Segerea hadi Kinyerezi hakuna Maji

Kisesetusese

Senior Member
Sep 12, 2022
173
242
Mkuu

Naomba nilete kwako kero hii ambayo kwa hapa Dar es Salaam imeelekea kukomaa sasa.

Kuanzia tabata, segerea kinyerezi huduma ya maji haipatikani. Bila shaka kuna kutoa rushwa maji yafunguliwe upande wenu.

Maeneo ya Kanga Kinyerezi maji hayatoki wiki ya 3.

Mheshimiwa unahujumiwa tunaomba jicho lako lile ya 3 lifikie maeneo haya
 
Mkuu uko sahihi,
Wauza maji kwa malori Wanatoa cash kila siku ili maji yaendelee kuwa Shida Pande za Kimara, Bonyokwa,Kinyerezi TAKUKURU amkeni.
Vijana wanaofungulia maji kwa sasa wako kwenye mavuno makubwa. Kuna hujuma ili kumdhoofisha mtu, sasa watakaoumia ni Walalahoi.
 
Mkuu uko sahihi,
Wauza maji kwa malori Wanatoa cash kila siku ili maji yaendelee kuwa Shida Pande za Kimara, Bonyokwa,Kinyerezi TAKUKURU amkeni.
Vijana wanaofungulia maji kwa sasa wako kwenye mavuno makubwa. Kuna hujuma ili kumdhoofisha mtu, sasa watakaoumia ni Walalahoi.
Mkuu tuhuma nzito hizi,sio kwamba mambo yameathirika na mafuriko?
 
Mkuu uko sahihi,
Wauza maji kwa malori Wanatoa cash kila siku ili maji yaendelee kuwa Shida Pande za Kimara, Bonyokwa,Kinyerezi TAKUKURU amkeni.
Vijana wanaofungulia maji kwa sasa wako kwenye mavuno makubwa. Kuna hujuma ili kumdhoofisha mtu, sasa watakaoumia ni Walalahoi.
Sijaelewa yaan unamaanisha nini?
 
Acheni walimu waendelee kufundisha watoto uzalendo kwenye mtaala mpya
Halafu acheni dharau kwa walimu walipwe vizuri wazalishe taifa bora lisilopenda rushwa
 
Kinyerezi,segerea,mbezi Pako juu,panahitaji pampu yake, November walidai wanafunga pampu shida itaisha
Maji yakiwa mengi, hayahitaji pump. Yanamsukumo natural.


Hapa kuna mambo yanafanyika, pumps hiyo inafanyalakazi wakat wa kiangazi, kwa nn mvua kibao maji hayatoki??

Yanatokaje kiangaz kipind hiki yasitoke, etc msukumo mdg, fake engineer
 
Mkuu

Naomba nilete kwako kero hii ambayo kwa hapa Dar es Salaam imeelekea kukomaa sasa.

Kuanzia tabata, segerea kinyerezi huduma ya maji haipatikani. Bila shaka kuna kutoa rushwa maji yafunguliwe upande wenu.

Maeneo ya Kanga Kinyerezi maji hatatoki wiki ya 3.

Mheshimiwa unahujumiwa tunaomba jicho lako lile ya 3 lifelike maeneo haya
Mnajisumbua tu kwa huyu kiongozi
 
Mnajisukbua kwa sababu mbunge wenu huyo mwanamama ni mchumia tumbo.

Mkurugenz wa Daeasa jijin sio mfuatiliaji.
 
Na mvua zote hizo bado muna mgawo wa maji tena yanakosa presha. Hapo kuna tatizo.

Hao mameneja wa dawasa wanapataje mapato yao.
 
Na mvua zote hizo bado muna mgawo wa maji tena yanakosa presha. Hapo kuna tatizo.

Hao mameneja wa dawasa wanapataje mapato yao.
Nna mtu yuko Dawasa pale alichoniambia, niko hoiii, maji watayasikia redioni, acha watu wavune maokoto.
 
Matatizo na kero ndo sifa za nchii hii,vinginginevyo watatilia shaka uraia wako ukizungzia habari za kero!
 
Back
Top Bottom