Dar inawapotezea watu muda

Dar inawapotezea watu muda

Ngumu,kufanikiwa kwa fursa zipi mkuu....usidanganywe na mafanikio ya ujanja ujanja...maana mtu anayeishi dar hata wakijaga mikoani yaani unaona macho juu juu,tunamuambia tuliza mpira chini anza upya hujachelewa


Smart boy
 
Hahah ila mi naona Dar nzuri kwa biashara kuliko ajira ila uwe umeinvest pesa ndefu. Sio biashara za kuchonga miwa na kuuza pipi.
Kwa ajira ukipata unayokunja at least 2 to 3m kama take home ndio utainjoy life la mjini. Ila kinyume na hapo ni shida tu mzee baba!
Kuna watu wanalipwa laki na nusu lkn wana maisha bora kuliko anayelipwa milioni tatu.
 
Hivi mkoani hakuna kula kuvaa kuumwa?na mkoani si unaweza kuwa unatumia zaid ya nauli hiyo kwa boda boda au Bajaj?au mkoani kibarua huyo huyo badala ya kulipwa elf 8 atalipwa elf 18?
hiyo 8,000 mkoani ni hela kubwa/thamani kubwa ukilinganisha na dar,vyakula bei chee,kuhusu usafiri bodadoda na bajaji ni anasa wengi wanatembea...
 
hiyo 8,000 mkoani ni hela kubwa/thamani kubwa ukilinganisha na dar,vyakula bei chee,kuhusu usafiri bodadoda na bajaji ni anasa wengi wanatembea...
Haya twende mkoa gani na mitaa gani ukilinganiasha na dar mitaa gani not to forget life style ipi
 
Fomula zinatofautiana NTU na NTU, inawezekana zile mishe ulizokuwa unazifanya kwa mazingira ya dar kutoboa n ngumu, lakini kwa huko mkoani imekuwa rahisi kwako kutoboa,, kikubwa hapa inategemea na unachokifanya kinaoana na mazingira husika? Kuna mishe zinalipa sana ukizifanyia mikoani kuliko dar na kinyume chake, usikaririshe na kutisha watu hapa, hoja/nadharia yako sio ya kijariamali na haiwezi Fanya kazi kwa kila mtu, labda ungeniambia kama umefanya shughuli fulani kwenye mkoa/mazingira x na raman ikawa haisomeki n vizur ukabadilisha mazingira
 
Dar wengi wanaishi na kukulia kwa mashemej zao

Na kama hakai kwa shemej unakuta analala stand sokoni Kurembea usiku kucha wanajifanya busy kumbe hakuna pa kulala

Na ndo mana pia dar watoto wengi hawafanan na baba zao


Lakin pia ndo jiji linaloongoza kwa mashoga east afri

Napo sema hivyo sina maana wanaume wote wa dar wazembe wapo majbe sema wachache sana wengi kula kwa Shem kulala kwa Shem
 
Back
Top Bottom