Dar inawapotezea watu muda

Dar inawapotezea watu muda

Wote waliohamia mkoani ambao wametoka dar na kurudi mikoani , walijipa muda na malengo ya kuwa baada ya miezi sita au tisa au mwaka mzima nitarudi mkoani. kipindi hicho cha muda walichojipa ndicho walichokuwa wanakusanya pesa na kujichanga za kwenda kuanza nazo maisha mikoani wakati huo wangekuwa huko mkoani wasingekuwanazo hizo pesa.

Dar lazima uishi kwa malengo kila kitu unatumia pesa, akili zako kama huzichangi vizuri DAR utaishia pesa zako kilipia pango la nyumba, umeme, maji, usafiri, kula, kuvaa, na starehe ndogo ndogo.

mimi sirudi mkoani miaka mia nipo dar na nimejenga mkoani, maisha yangu ni Dar mkoani kwenda kutembea tu na kurudi Dar.
 
huu uzi bora ungewekwa kama sticky thread hapo juu ili watu wajifunze maisha yalivo na tofauti ya kimaisha iliyopo kati ya dar na mikoani
 
hu
Wote waliohamia mkoani ambao wametoka dar na kurudi mikoani , walijipa muda na malengo ya kuwa baada ya miezi sita au tisa au mwaka mzima nitarudi mkoani. kipindi hicho cha muda walichojipa ndicho walichokuwa wanakusanya pesa na kujichanga za kwenda kuanza nazo maisha mikoani wakati huo wangekuwa huko mkoani wasingekuwanazo hizo pesa.

Dar lazima uishi kwa malengo kila kitu unatumia pesa, akili zako kama huzichangi vizuri DAR utaishia pesa zako kilipia pango la nyumba, umeme, maji, usafiri, kula, kuvaa, na starehe ndogo ndogo.

mimi sirudi mkoani miaka mia nipo dar na nimejenga mkoani, maisha yangu ni Dar mkoani kwenda kutembea tu na kurudi Dar.
u uzi hujaulewa, kausome vizuri
 
Dar wengi wanaishi na kukulia kwa mashemej zao

Na kama hakai kwa shemej unakuta analala stand sokoni Kurembea usiku kucha wanajifanya busy kumbe hakuna pa kulala

Na ndo mana pia dar watoto wengi hawafanan na baba zao


Lakin pia ndo jiji linaloongoza kwa mashoga east afri

Napo sema hivyo sina maana wanaume wote wa dar wazembe wapo majbe sema wachache sana wengi kula kwa Shem kulala kwa Shem
na ndipo dawa zote za nguvu za kiume zinapatikana,karibu kila mtu anakuambia ana tatizo la nguvu za kiume
 
iyo laki na nusu kwa siku anakula mlo gani na wa aina gani kwa shi ngap ye na familia yake?
Hawa watu waache tu walivyo,wana maisha bora hata kushinda wewe.Wengine ni walinzi wa Gereji ambazo sometimes zinatumika kama guest bubu
 
Haya twende mkoa gani na mitaa gani ukilinganiasha na dar mitaa gani not to forget life style ipi
mikoa mingi ya kilimo,maisha ya kawaida ya kula ukashiba ukatosheka na ukamudu vitu vingine vya kila siku na ukabaki na akiba kidogo..
 
Baba yangu Mkubwa Anaish Dar mwaka wa 28 huu ndo msomi zaid na mwenye kipato kikubwa zaid ndan ya familia ila ndo maskn zaid kwenye familia yao.

Sitak kuweka maelezo meng Jitahd hvyo hvyo tu unielewe
Huyo Baba mkubwa Hana akili,.
 
Back
Top Bottom