wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,347
- 1,740
Cha ajabu utakuta ndo aliyewasomesha na kuwawezesha kupata hayo mafanikio lakini hamkumbuki yote na mnamwona boyaBaba yangu Mkubwa Anaish Dar mwaka wa 28 huu ndo msomi zaid na mwenye kipato kikubwa zaid ndan ya familia ila ndo maskn zaid kwenye familia yao.
Sitak kuweka maelezo meng Jitahd hvyo hvyo tu unielewe
Omba uwe na ndugu anayetambua mchango wako katika maisha yake yaani we acha tu
