t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,120
- 16,963
Si matarajio yangu kuwa kila mtu akubaliane na hoja zangu, nimesema hizi ni mindset zetu watu wa dar nikiwa najua kabisa , the way unavyopinga kila kitu na kutetea ndivyo nimeishi hiyo Tabia kwa takriban miongo mitatu hapo dar naijua fika and you just belong to the same group.Sio kila mtu atakubaliana na wewe. FYI im not your typical Dar dweller. Kwahio hio typical mindset yako ni wewe na wenzio hainihusu ndio maana mawazo yako na yangu yanapishana.
Ona unavyotetea kuwa wewe huchukui muda kutoka na kurudi home , ona unavyotetea kuwa dar hakuna joto ati joto la dar ni miezi mitatu tu, ona unavyotetea foleni hata new York ipo, mi sijafika new York ,ila naamini hakuna foleni ya Massa mawili gari haisogei, kama foleni ya buguruni hapo.