Prince Dos Santos
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 1,047
- 1,326
Numeshakwambia sitaki kuishi kwenye takataka , Manzese na Tandale ni shitholes , sio maeneo ya kuishi binadamu hayo , ni ufukara wa kupindukia ndo unawafanya watu waishi humoKama unaweza Manzese kwanini ushindwe Tandale?