Doh !!! Kumbe !!!!!
Mi nafanya assumption kuwa mwenzetu upo juu sana kimaisha ie umeyapatia hapo bongo!
By the time naikimbia Dar na kuona napoteza muda hapo, nimeacha nyumba tatu, ambazo valuation ya mwaka Jana hakuna iliyopungua mil 70, shamba hekari mbili huko mpigi magoe , pamoja na Mitsubishi canter mbili za tani tatu ambazo mpaka usiku huu naandika hii thread zinawabebea maji matycoon wa Dar .
Hicho kipato cha laki ambacho wanibeza nacho kwangu mimi kilikuwa ndo kipato changu kwa siku miaka ya 2008-9 hadi 2010,
Just because you are late to the party... It doesn't mean that the party hasn't started yet!