LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,694
stamina ndio nani?*STAMINA alisema
wakuja rudi bush mji unahitaji walio_______ sasa hapa sijui alikuwa anamaanisha nini
stamina ndio nani?*STAMINA alisema
wakuja rudi bush mji unahitaji walio_______ sasa hapa sijui alikuwa anamaanisha nini
Afadhali mkoani unaweza kutafuta sehemu ukakaa ukapata ka upepo na joto lake lina muda na muda sio wakati wote km DarHivi Tanga si mkoani ?mbona na kwenyewe kuna Joto kinoma
Chakura na hakibaHata kama unamchongo huishia kwenye kodi ya nyumba, umeme ,maji,chakura, na usafiri,maisha ya dar hayana hakiba
Na mimi nimezaliwa Dar, nimekulia Dar+ughaibuni nasisitiza Dar kuna fursa nyingi kuliko mkoa wowote nachelea kusema kuna fursa kuliko hata ughaibuni kama utarumia uliyojifunza nje.Mi sikatai matokeo ya huo utafiti wa NBS , maisha ya mkoani yanaeza kweli kuwa magumu, lkn mkoani ni rahisi sana kutoka kimaisha kuliko hapo dar , Nina ushahidi wa hilo, Nimezaliwa dar nimesoma na kukulia hapo, miaka mitatu hii ya mwisho ndipo nilipopiga U turn kutafuta fursa mkoani, naujutia sana muda niliopoteza hapo dar
Dar ina joto wakati wote? Si kweli,joto ni kuanzia December hadi mwezi wa pili au tatu baada ya hapo zinaanza mvua ambazo zinapunguza sana joto, then mwezi wa sita mpaka hivi sasa ninapoandika hamna joto unless umeamua tu kupotosha.Afadhali mkoani unaweza kutafuta sehemu ukakaa ukapata ka upepo na joto lake lina muda na muda sio wakati wote km Dar
Hao wanajitoa ufahami. Takeimu zinaonesha mikoani ndio kuna dhiki na Dar ndio ina unafuu wa maisha. Hizi nyingine ni porojo tu.Hivi mkoani hakuna kula kuvaa kuumwa?na mkoani si unaweza kuwa unatumia zaid ya nauli hiyo kwa boda boda au Bajaj?au mkoani kibarua huyo huyo badala ya kulipwa elf 8 atalipwa elf 18?
Velar ipo Arusha? Aston Martin, Lamborghini, Ferrari,Rolls Royce ghost ipo Arusha? Bentley Bentyaga ipo Arusha? Hebu ficha upumbavu wako buda!Gari zuri lipo arusha wewe,,,dar hakuna magari
Hii ina uhalisia, Dar kipato ni kikubwa ila pia gharama za maisha zipo juu sana. Mkoani kipato hafifu ila gharama za maisha zipo chini pia! Ukiwa na mshahara wa kawaida tu mf: 750k ukaweza kumiliki miradi mbali mbali mkoani unatoboa chapu sana kuliko ukiwa dar.Maoni yangu
Dar Ni vigumu kujenga nyumba kuliko mkoani
Lakini dar Ni rahisi kupata hela kuliko mikoani
nyinyi ni waoga wa maisha, maisha popote, kama umeamua kurudisha mpira kwa kipa ni mpango wako kivyako vyako, wengine tumetusua na tunaendelea kutusua hapa hapa bongo daslamu
Sasa wewe si boss mkuu, kijakazi unaingia ofisi ya nani saa 3?Hio ni wewe na mipangilio yako. Mimi naondoka saa mbili asubuhi saa tatu kasoro niko kibaruani. Kurudi hivyo hivyo 45mins tu.
Inategemea,sio kila sehemu wanaingia saa moja asubuhi. Btw mimi sio boss.Sasa wewe si boss mkuu, kijakazi unaingia ofisi ya nani saa 3?
Kama we ni CEO na kampuni yako inafanya poa ama una position kubwa serikalini dar ni peponi. Ila kwa walala hoi Dar hapafai hata kulumangia.Inategemea na status walahi!
DAR ES SALAAM IS MY CITY FOREVER WALAHI!
Chakula na sio chakuraHata kama unamchongo huishia kwenye kodi ya nyumba, umeme ,maji,chakura, na usafiri,maisha ya dar hayana hakiba
Doh naona hata hatuelewani umeng'ang'ania dar tu kuna maisha mazuri, mada haikuwa dar na mkoani wapi kuna maisha mazuri, mada inasema dar na mkoani wapi ni rahisi kufanikiwa kimaisha ,Na mimi nimezaliwa Dar, nimekulia Dar+ughaibuni nasisitiza Dar kuna fursa nyingi kuliko mkoa wowote nachelea kusema kuna fursa kuliko hata ughaibuni kama utarumia uliyojifunza nje.