smile vipi tena ndugu humtaki wifi wewe????muacheni baba tuli wangu jamani,love wasikusumbue kichwa hawa dada zako wa hiyari lol
Hahaha umepinda mbaya...........Hata huo u mod napata mashaka nao utakapoupata lol!Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.
Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
Lol...hivi ikitokea nimevunjika mbavu kwa haya mayuziful quote yako Serekali itanipeleka india au?Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.
Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
Hey... Namaste yaar.... Missed you Viper it has been long bana.... Hopefully sasa we can play that game of Chess....
Wimbo wako umenikosha.....lol... Are you not in love Viper....
au yupo busy na Face book
Ukichungulia unakuta mzigo huo duhh
Nimeona mambo ya mama Tuli... Kuna post humu ndani navua miwani nikipita ili nisisome.....lol... Ok umenipoza... sis eeeh??
Too late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)Hahaha umepinda mbaya...........Hata huo u mod napata mashaka nao utakapoupata lol!
hahahaaa we endelea tu kuvua miwani......bishanga kasha chakachuliwa,karata anazipanga mwaka!!!!
Usjali honey, hospitali ya Aga khan ni ya faza wangu wa kambo. Umepona kabla kuumwaLol...hivi ikitokea nimevunjika mbavu kwa haya mayuziful quote yako Serekali itanipeleka india au?
Karibu jamvini mama Tuli, vp Tuli mzima lakini?
Am under 18 Fidel, nikiomba ufafanuzi wa chini ya kitovu nitakuwa siitendei haki miaka yangu...lol.Inahusika sana kuleta vimelea vya virutubisho chini ya kitovu
Hmm Mama Tuli.....Tuli hajambo lakini? Utundu kaacha?
Haa haiwezekani ngoja na sisi tutafutee NMC square yetu nafikiri itakuwa jukwaa la Chit Chat mpaka kieleweke toa msimamo wako juu ya uchakachuaji wa sredi ili tujue kama tupo pamojaToo late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)
Mama Tuli kila la kheri umepata jembe hili
Jamvini unanikaribisha leo Fidel acha usanii.....au baada ya kuona mambo ya hubby wangu
Haa haiwezekani ngoja na sisi tutafutee NMC square yetu nafikiri itakuwa jukwaa la Chit Chat mpaka kieleweke toa msimamo wako juu ya uchakachuaji wa sredi ili tujue kama tupo pamoja
Hahaha! Edit upesi hapo kwa AshaDii weka husninyo! Hivi unamjua vizuri memba anaeitwa Kaizer? Usijesema sijakwambia!Too late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)
Nimefurahi unapolog out unajibu na swali la Asha Dii kabisa kwamba your in Love................mpe pole ua waifu usisahau kupitia sokoni kwa ajili ya maembe mabichiAtakaechakachua sredi atapewa upremium member bila kulipia chochote.
nalog out kamanda, nampeleka waifu mateniti naona anahisi kichef chef kidogo
Atakaechakachua sredi atapewa upremium member bila kulipia chochote.
nalog out kamanda, nampeleka waifu mateniti naona anahisi kichef chef kidogo
Ataachaje utundu wakati amerithi kwa baba yake.......KANNAK karibu nyumbani