Bro, kila mwanamke anacheat, anadanganya, analaghai

Bro, kila mwanamke anacheat, anadanganya, analaghai

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
14,243
Reaction score
40,253
Sio kwa sababu wanawake ni watu wabaya, ila kwa sababu wanawake pia ni binadamu. Na asili ya binadamu ni survival, not honesty. Wanawake wameweza ku-survival tangu vizazi vya kale kwa kudanganya, kucheat na kulaghai ili wapate ulinzi na matunzo

Mwanaume mjinga anafikiri mwanawake wake ni tofauti na wanawake wengine.

Mwanaume mwenye busara anajua mwanamke anadanganya kuhusu body count(akisema 3 maana yake 13).

Anadanganya kuhusu sababu iliyofanya aachane na ex wake.(mara zote ex ni villain)

Anadanganya kwamba wewe ndio mwanaume wake pekee, hana interest na wengine. (Ukweli ni kwamba anayo backup list ya wanaume ambao tayari wapo standby lolote likitokea kati yenu)

Anadanganya anavyosema nakupenda. "nakupenda sana devi". Huku ana-entertain wanaume wengine apate attention.

Big lies, small lies, survival lies. She lies to keep her options open. She lies to keep peace. She lies to keep you.

Kucheat? Kila mwanamke ana capacity ya kucheat mzee mwenzangu.

Ku-intertain wanawaume ambao anajua wanamtaka na hawapigi block, ni kucheat

Kupost picha za mitego mtandaoni wakati anajua
ana boyfriend ni kucheat

Bado ana namba ya simu ya ex wake? ni kucheat

Unafikiri cheating ni kitandani tu? Cheating starts in mind long before body, and any girl when hypergamy hits she will entertain fantasy

Ulaghai? Kila mwanamke analaghai. Atatoa machozi kukwepa uwajibikaji. Atatumia sex kupata anachotaka kutoka kwako. Silence to punish you. Weaponizing kids, play victim to friends e.t.c

Wise man knows this. So wise man doesn't hate women for it. Wise man expect it and vets for it and protest against it. A wise man say i know you can lie, so i will verify not just trust. I know you can cheat, so i will keep you in line with leadership not insecurity. I know you can manipulate, so i will not make decisions based on your tears, but based on facts.

But a foolish man is simp. My girl is different. My girl is loyal. My girl would never. Blah blah blah. Bro wake up from that dead sleep. You girl is like other girls. She breath same air, she has same Instagram, same hypergamy, same need for attention, same trauma. The different is your girl just hasn't had reason to show you yet or you are blind.

Don’t be foolish man. Be wise man who loves women but never trust illusion that his girl is exception to female nature.

Don't be a simp
 
Kuna wanawake sijui ni wa zama zipi waliwaaminisha wahenga kuwa ukimtoa bikira atakutamani wewe tu, hawa mbingu sizani kama wataziona.

Wakawaambia kwamba wanawake wanafanya ngono kwa hisia sio matamanio, ukimtoa bikira anakuwa na hisia na wewe tu hawezi toa huko nje, Aisee!!!
 
Kuna wanawake sijui ni wa zama zipi waliwaaminisha wahenga kuwa ukimtoa bikira atakutamani wewe tu, hawa mbingu sizani kama wataziona.

Wakawaambia kwamba wanawake wanafanya ngono kwa hisia sio matamanio, ukimtoa bikira anakuwa na hisia na wewe tu hawezi toa huko nje, Aisee!!!
Kuchagua mke ni kama kufanya gamble. Uwezekano wa bikira kutoka nje upo lakini ku-gamble kwa bikira risk inakua ndogo zaidi. Licha ya kutoka nje kuna factors zingine kama innocence, ability to bond, fresh womb, teachability n.k hizi hauwezi kuzipata kwa mwanamke ambaye tayari ana historia ya kuwa na mahusiano mengi.
 
Kuchagua mke ni kama kufanya gamble. Uwezekano wa bikira kutoka nje upo lakini ku-gamble kwa bikira risk inakua ndogo zaidi. Licha ya kutoka nje kuna factors zingine kama innocence, ability to bond, fresh womb, teachability n.k hizi hauwezi kuzipata kwa mwanamke ambaye tayari ana historia ya kuwa na mahusiano mengi.
Walikuwa waongo, nyege hazijali bikira ilitokaje.
 
Sio kwa sababu wanawake ni watu wabaya, ila kwa sababu wanawake pia ni binadamu. Na asili ya binadamu ni survival, not honesty. Wanawake wameweza ku-survival tangu vizazi vya kale kwa kudanganya, kucheat na kulaghai ili wapate ulinzi na matunzo

Mwanaume mjinga anafikiri mwanawake wake ni tofauti na wanawake wengine.

Mwanaume mwenye busara anajua mwanamke anadanganya kuhusu body count(akisema 3 maana yake 13).

Anadanganya kuhusu sababu iliyofanya aachane na ex wake.(mara zote ex ni villain)

Anadanganya kwamba wewe ndio mwanaume wake pekee, hana interest na wengine. (Ukweli ni kwamba anayo backup list ya wanaume ambao tayari wapo standby lolote likitokea kati yenu)

Anadanganya anavyosema nakupenda. "nakupenda sana devi". Huku ana-entertain wanaume wengine apate attention.

Big lies, small lies, survival lies. She lies to keep her options open. She lies to keep peace. She lies to keep you.

Kucheat? Kila mwanamke ana capacity ya kucheat mzee mwenzangu.

Ku-intertain wanawaume ambao anajua wanamtaka na hawapigi block, ni kucheat

Kupost picha za mitego mtandaoni wakati anajua
ana boyfriend ni kucheat

Bado ana namba ya simu ya ex wake? ni kucheat

Unafikiri cheating ni kitandani tu? Cheating starts in mind long before body, and any girl when hypergamy hits she will entertain fantasy

Ulaghai? Kila mwanamke analaghai. Atatoa machozi kukwepa uwajibikaji. Atatumia sex kupata anachotaka kutoka kwako. Silence to punish you. Weaponizing kids, play victim to friends e.t.c

Wise man knows this. So wise man doesn't hate women for it. Wise man expect it and vets for it and protest against it. A wise man say i know you can lie, so i will verify not just trust. I know you can cheat, so i will keep you in line with leadership not insecurity. I know you can manipulate, so i will not make decisions based on your tears, but based on facts.

But a foolish man is simp. My girl is different. My girl is loyal. My girl would never. Blah blah blah. Bro wake up from that dead sleep. You girl is like other girls. She breath same air, she has same Instagram, same hypergamy, same need for attention, same trauma. The different is your girl just hasn't had reason to show you yet or you are blind.

Don’t be foolish man. Be wise man who loves women but never trust illusion that his girl is exception to female nature.

Don't be a simp
Umeeleweka mkuu ni sahihi japo haya mambo saivi hayana formula moja,,an ni shaghala baghala TU
 
Back
Top Bottom