King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
mgao wa umeme dawa yake nokia tochi yenye internet. pole sana, u were missed really. ngoja dodi al fayed (husninyo) aje,atajitolea kukununulia manake hapo kwa kloro umeangukia pua!
Asante sana Lokissa kwa kunikumbuka, ni kweli nimekuwa siingii JF kwa muda sasa kutokana na majukumu kunizidi na pia mgao wa umeme. Ila namshukuru Mungu naendelea vizuri na ni mzima. Ninawakosa sana wana JF na JF kwa ujumla. mambo yakitulia nitarudi kama mwanzo na tutazidi kushiriki hoja na mijadala mbalimbali hapa.
Mungu Awabariki, Tuko Pamoja.