sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Lol...kloro nnaemjua mimi suti atoe wapi?... Labda asubri uporoto afunge ndoa na husninyo afu amwazime suti... Njoo nae ntakununulia viatu na hijabu...hehehe,misaada ina raha yake banaa,unachagua ya bei ya juu kuliko zote,lol!
shida ya kloro atakuambia suti anazo ila kuna kitu anataka. ntampa ujumbe lakini. sasa nije nae uninunulie viatu?