sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Umerudi lini toka Igunga?Khaaaa!
Mkuu hauamini? JF ukiijulia unapata waifu na nyumba ndogo humuhumu. Usibishe!
Biharusi hadaiwi bana! wee wa wapi?, Ustuharibie honeymoon yetu
Umerudi lini toka Igunga?Khaaaa!
Mkuu hauamini? JF ukiijulia unapata waifu na nyumba ndogo humuhumu. Usibishe!
Biharusi hadaiwi bana! wee wa wapi?, Ustuharibie honeymoon yetu
Tumemaliza hela ya kampeni jana! tumetakiwa kulejea majumbani kwa sku nne kubana matumizi.Umerudi lini toka Igunga?
Mweeh! Kamanda vipi mbona unaulizia ujauzito wa mtu mwingine ? au ni wewe aliyehitaji girlfriend mjamzito kule loveconnect ? hahaha!....Halaf kale kaujauzito kako kanaendeleaje?
hehehe kamanda bana! nilitumia ID gani vile?Mweeh! Kamanda vipi mbona unaulizia ujauzito wa mtu mwingine ? au ni wewe aliyehitaji girlfriend mjamzito kule loveconnect ? hahaha!
Biharusi hadaiwi bana! wee wa wapi?, Ustuharibie honeymoon yetu
hehehe kamanda bana! nilitumia ID gani vile?
usiulize masuala mengi kamanda bana! wee kama namna gani vipi mpelekee sweetlady mapera tu.
Uporoto mbona hajamaliza madeni ya kwenu ?, halaf huu mpango wenu wa kukopa halaf mkatoa namba yangu ya simu mnaniharibia mjue?mmmmh! Mkimaliza hanimuni mlipe madeni.
Shwari mwamba? inakuwaje? long time no c au cafe ilifungwa kitaa?Nakusalimia mkuu kama una nafasi??
Tunawapa namba yako si kuna hela yetu kwako na tumeona ni njia rahisi ya wewe kuzipunguza.Uporoto mbona hajamaliza madeni ya kwenu ?, halaf huu mpango wenu wa kukopa halaf mkatoa namba yangu ya simu mnaniharibia mjue?
Uporoto mbona hajamaliza madeni ya kwenu ?, halaf huu mpango wenu wa kukopa halaf mkatoa namba yangu ya simu mnaniharibia mjue?
Laaziz Keren Happuch atakanusha hii post yako akilog in.Tunawapa namba yako si kuna hela yetu kwako na tumeona ni njia rahisi ya wewe kuzipunguza.
Uporoto mbona hajamaliza madeni ya kwenu ?, halaf huu mpango wenu wa kukopa halaf mkatoa namba yangu ya simu mnaniharibia mjue?
tumeamua tuwasamehe deni letu. Mzee mzima usije ukamwaga chozi bure.
hongera sana bw harusi kilorokwin
kloro umeoa? ina maana mitala unaacha sasa? ungetangaza tender ya zile small house watu wamedoda huko lov connect manake mmejitwalia utadhani viongozi wa serikali na viwanja vya jiji!
Mbarikiwe sana kwa hongera zenu, waifu Michelle amefrahi sana kusoma comment zenu na ameahidi kunizalia watoto watano.