King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
afu ww nilikua nakusaka. nauza hii binduki yangu,cash lakini
Michelle ibuka ukate kiu ya wana JF waliokumiss
Michelle ibuka ukate kiu ya wana JF waliokumiss
Hivi Keren happuch si alitangaza hapa JF kwamba yeye ni mke wa fundi saa maarufu eneo la magomeni anaekwenda kwa jina la Mzee Ayubu?sasa huyo mke ni michelle ama ni keren_ capuchino (sorry,nahisi hili la kirusi nimelokosea,mama mkwe wake sijui atalitamkaje!)
Hahahaha! Kaujauzito kalitoka kwa mshituko, uporoto alvyoniletea taarifa kuwa umefumaniwa na mke wa balozi wa nyumba kumi huko Igunga!..Tumemaliza hela ya kampeni jana! tumetakiwa kulejea majumbani kwa sku nne kubana matumizi.
Halaf kale kaujauzito kako kanaendeleaje?
Khaaa! Mapera???hehehe kamanda bana! nilitumia ID gani vile?
usiulize masuala mengi kamanda bana! wee kama namna gani vipi mpelekee sweetlady mapera tu.
heheheh ukijiskia kukamiss , nitafute.Hahahaha! Kaujauzito kalitoka kwa mshituko,
Khaaa! Mapera???
Msamehe bure huyu kamanda wako, unajua amechanganyikiwa baada ya kuona wapinzani wanawageukia huko Igunga!.. Hawa wapinzani waache kigeu geu manake watamfanya kloro ahame mji...Mweeh! Kamanda vipi mbona unaulizia ujauzito wa mtu mwingine ? au ni wewe aliyehitaji girlfriend mjamzito kule loveconnect ? hahaha!
Hahaha! Nimecheka kwa laudi spika kama kloro!.. He! Kwa taarifa yako wakati uko igunga uporoto alishinda bahati nasibu, hivyo sio masikini tena! Mtafute husninyo kwa maelezo zaidi.Sasa mapera si ndo uwezo wa Uporoto! mbona unawanyanyapaa masikini bana!
Hizi kampeni zikimaliza nitaumiss kweli ule wali wa bure wa igunga. Sjui jimbo gani jengine jamaa atajiuzulu karibuni.Msamehe bure huyu kamanda wako, unajua amechanganyikiwa baada ya kuona wapinzani wanawageukia huko Igunga!.. Hawa wapinzani waache kigeu geu manake watamfanya kloro ahame mji...
Sidanganyiki! Husninyo jana tu aliniPm nimtaftie wateja wa maandazi amesema hali sio shwari kwa upande wake na Uporoto.Hahaha! Nimecheka kwa laudi spika kama kloro!.. He! Kwa taarifa yako wakati uko igunga uporoto alishinda bahati nasibu, hivyo sio masikini tena! Mtafute husninyo kwa maelezo zaidi.
Hahaha! Atajiuzulu Jk kabisa! Khaaa! Kweli nimeamini maneno ya the finest kuwa hupendi maendeleo ya uporoto...hivi nnavyoandika hapa uporoto na husninyo wamepita na hammer kuelekea mpwapwa! Uporoto baada ya kubahatika ameamua kwenda kumalizia mahari ya watu!..Hizi kampeni zikimaliza nitaumiss kweli ule wali wa bure wa igunga. Sjui jimbo gani jengine jamaa atajiuzulu karibuni.
Sidanganyiki! Husninyo jana tu aliniPm nimtaftie wateja wa maandazi amesema hali sio shwari kwa upande wake na Uporoto.
Labda alishinda zile lotto za wanaijeria, akina tracymatusi na tracybaby
Lol... Hapa itakuwa ngumu, manake naogopa mtoto kulelewa na mama wa kambo!.. Source: sredi ya MJ1.heheheh ukijiskia kukamiss , nitafute.
Yaani jina hujakosea kabisa you are soo sweet,thanks. kloro tatizo hakudhani Hus atahamia kwangu ni kama kwenye taarabu wanasema 'ulimwona hafai wengine wanasema alikuwa wapi'.Hahaha! Atajiuzulu Jk kabisa! Khaaa! Kweli nimeamini maneno ya the finest kuwa hupendi maendeleo ya uporoto...hivi nnavyoandika hapa uporoto na husninyo wamepita na hammer kuelekea mpwapwa! Uporoto baada ya kubahatika ameamua kwenda kumalizia mahari ya watu!..
hehehe kamanda bana! hiyo red ya mzee yussuf au mama mashauzi?Yaani jina hujakosea kabisa you are soo sweet,thanks. kloro tatizo hakudhani Hus atahamia kwangu ni kama kwenye taarabu wanasema 'ulimwona hafai wengine wanasema alikuwa wapi'.
hii ilikuwa ya wale Five Star waliopukutika na ajali wakitokea kwenye harusi ya Mwakapumbu nyumbani si unajua Wanyakyusa siku hizi mambo ya kidole juu kidogo tunaipatapata.hehehe kamanda bana! hiyo red ya mzee yussuf au mama mashauzi?
Hii fesbuk imeleta balaa kweli kamanda, siku hizi kidole juu mpaka uchagani! sweetlady atasibitisha hiihii ilikuwa ya wale Five Star waliopukutika na ajali wakitokea kwenye harusi ya Mwakapumbu nyumbani si unajua Wanyakyusa siku hizi mambo ya kidole juu kidogo tunaipatapata.
Hahaha... Ujue aliponzwa na hela za kampeni Igunga, akamtelekeza Husn...Yaani jina hujakosea kabisa you are soo sweet,thanks. kloro tatizo hakudhani Hus atahamia kwangu ni kama kwenye taarabu wanasema 'ulimwona hafai wengine wanasema alikuwa wapi'.
Hapa nakanusha kabisa! Uchagani hakuna vidole juu, kule ni kwaya tu....Hii fesbuk imeleta balaa kweli kamanda, siku hizi kidole juu mpaka uchagani! sweetlady atasibitisha hii
Laaziz Keren Happuch atakanusha hii post yako akilog in.
Hivi Keren happuch si alitangaza hapa JF kwamba yeye ni mke wa fundi saa maarufu eneo la magomeni anaekwenda kwa jina la Mzee Ayubu?
taratibu King'asti, utaharibu ndoa ya Mzee Ayubu ujue!