Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Junior NCOs koporo usu mpaka Ssgt.
Senior NCOs ni kwa Warrant officers 1 na2
Senior officers inaanzia Kanali na kwenda juu. Angalia ADC wa Mama na wa Mwinyi jr ujifunze kitu kwa Marais hawa wawili katika nchi moja.
Hivi Lt Colonel hayuko kwenye cheo cha mwanzo cha Sr Officers? Meja na Captain ni Jr Officers?
 
Lakini Nguruvi....mara nyingi four star generals huwa ni wenye umri mkubwa. Wengi huwa wamebakiza muda mchache sana kabla ya kustaafu.

Kama waliopo kwenye active duty wote wanakaribia kustaafu, kuna ubaya gani wa kumchagua luteni jenerali aliye na umri utaomuwezesha kuhudumu kwa muda wa kutosha na kumpandisha cheo kuwa four star general?

Halafu, nadhani hata maslahi yao huwa hayatofautiani sana.

Yaani majenerali wazima wamuonee gere luteni jenerali aliyepandishwa cheo na kuwa jenerali na mkuu wa majeshi huku wao wakiwa wamebakiza muda mchache kabla ya kustaafu?

Mkuu wa majeshi ana maslahi gani ya kipekee yaliyo tofauti sana na ya majenerali wenzake?
Sio lazima, lakini kuanzia kuwa commissioned Officer yaani Luteni Usuu, huchukuwa sio chini ya miaka 24 kwa kufuata miaka ya kupata promotion na kufikia Kuwa Four Star General.

Kwa hiyo sio rahisi kuwa na Lt. General awe kijana. Na hii ni karibu dunia yote.
 
Hapa ndio mimi huanza kuchanganyikiwa! Samahani nipatie elimu...

Tanzania People's Defence Forces ndio JWTZ ambayo ndani yake ndio kuna Police Tanzania, Magereza, Fire, JKT na majeshi ya Anga, Maji na Special Forces?

Kama unaweza naomba unipatie orodha kamili ya majeshi yote na vitengo.
TPDF - Tanzania People's Defense Force ndiyo JWTZ - Jeshi la Wananchi wa Tanzania, JKT iko ndani ya TPDF (JWTZ), hili ndilo Jeshi la Ulinzi la Tanzania.

Hayo yaliyobaki, yaani Police Tz, Tanzania Prison (Magereza), nk, ni majeshi yanayohusika zaidi na usalama wa raia.

Hapa tuna "ULINZI" na "USALAMA".

Ndiyo maana, Rais ni Amir Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ULINZI na USALAMA.

CDF - Chief of Defense Force, ni kwa Jeshi la Ulinzi (Defense Force) tu.

Wengine ni IGPs, yaani Inspector General of Police & Prison.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio lazima, lakini kuanzia kuwa commissioned Officer yaani Luteni Usuu, huchukuwa sio chini ya miaka 24 kwa kufuata miaka ya kupata promotion na kufikia Kuwa Four Star General.

Kwa hiyo sio rahisi kuwa na Lt. General awe kijana. Na hii ni karibu dunia yote.
Mtu kijana ni range ya umri gani?

Mtu akiwa luteni usu na miaka24, ukiongezea na hiyo 24 mingine uliyoitaja, by 48 au 49 anaweza akawa full general?

Mtu mwenye miaka 48 ni mzee?
 
NN kama unafuatilia vizuri kunapokuwepo na mabadiliko ya CDF huwa yanagusa CoS (Chief of staff)

Maana yake ni kumpa mteuzi nafasi ya kuteua miongoni mwa wenye sifa.

Sasa kama CoS ni Lt General halafu ukamteua mwingine kuwa CDF unadhani itakuwa na picha gani?

..nakubaliana na wewe.

..na kukazia hoja yako naomba msome document ya CIA hapo chini kuhusu mabadiliko ya CoS wa Jwtz yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere.



" PRESIDENT NYERERE JULY 10 ANNOUNCED SERIES OF SHIFTS IN TANZANIAN MILITARY COMMAND, AS FOLLOWS:

BRIGADIER TUMAINIEL NDERANGUSHO KIWELU IS NAMED CHIEF OF STAFF OF TANZANIAN PEOPLE DEFENSE FORCE (TPDF), REPLACING BRIGADIER SIMON NKWERA, WHO BECOMES MANAGING DIRECTOR THE NEWLY CREATED RUFIJI DEVELOPMENT AUTHORITY.

COLONEL MIKE MARWA IS PROMOTED TO BRIGADIER AND NAMED COMMANDER OF THE TPDF SOUTHERN BRIGADE, REPLACING BRIGADIER KIWELU.

COLONEL A. SIMBA IS NAMED TANU PARTY SECRETARY OF WEST LAKE REGION (AND, IPSO FACTO, REGIONAL COMMISSIONER), REPLACING COLONEL MARWA.

MR. MOSES NNAUYE, TANU SECRETARY OF SINGIDA REGION (AND NOW CONFIDENTIAL CONFIDENTIAL
IS NAMED CHIEF POLITICAL EDUCATION OFFICER IN THE TPDF, REPLACING COLONEL SIMBA.

2. BEGIN CONFIDENTIAL.
COMMENT: BRIGADIER NKWERA HAS BEEN KICKED OUT TO A MILITARILY INCONSEQUENTIAL JOB, THUS REFLECTING AN APPARENT VICTORY FOR COMMANDER IN CHIEF MAJOR GENERAL ABDULLAH TWALIPO, WITH WHOM NKWERA HAS BEEN QUARRELING FOR SOME TIME, THOUGH WE DO NOT YET KNOW WHOLE STORY.

KIWELU IS DISTINCTLY A RISING YOUNG STAR, AND PRESUMABLY A PROTAGE OF TWALIPO. HE WAS A LIEUTENANT COLONEL COMMANDING THE FOURTH BATTALION AT NACHINGWEA WHEN HE WAS JUMP-PROMOTED TO BRIGADIER AND NAMED COMMANDER OF THE SOUTHERN BRIGADE LAST FEBRUARY 9. PREVIOUSLY HE HAD SERVED AS COMMANDER OF THE MONDULI TANU MILITARY ACADEMY.

IT IS NOT KNOWN WHY A NEW TANU SECRETARY (REGIONAL COMMISSIONER) HAS BEEN NAMED FOR WEST LAKE REGION. THIS REGION, WHICH BORDERS ON UGANDA, IS CONSIDERED MILITARILY AND POLITICALLY SENSITIVE, AND ITS LEADERS ARE CHOSEN WITH MORE THAN USUAL CARE. "

cc Nyani Ngabu, Pascal Mayalla
 
..kweli.

..Ngazi ya General huanzia cheo cha Brigadier-General, zamani walikuwa wakiitwa Brigadier.

..Sasa ngazi za Majenerali / Generals zinakwenda namna hii.

..General / 4-Star-General.

..Lieutenant General / 3-Star-General.

..Major General / 2-Star-General.

..Brigadier General / 1-Star-General.

NB:

..kwa Tanzania, huwa tuna Active 4 star general mmoja na huyo kuwa ndio mkuu wa majeshi.

..pia mnadhimu mkuu wa majeshi, au Chief of Staff, huwa ni 3-star-general.
Kanali. Inakaa wapi?
 
View attachment 1754602

Mimi si mjeda. Sijui mengi kuhusu ujeda. Sijui mengi kuhusu mengi.

Ni mbeba maboksi tu. Wengine husema nimeishia darasa la saba. Wengine hudai nimeishia kidato cha nne.

Hivyo, sina mengi niyajuayo. Ila, ninao uungwana wa kukubali nisiyoyajua.

Na dawa ya kuyajua usiyoyajua ni kujifunza.

Kujifunza kuko kwa namna nyingi. Moja ya hizo namna ni kuuliza.

Leo nauliza hivi: Hivi kwa Tanzania huwa tuna jenerali mmoja tu kwa wakati mmoja aliye jenerali kamili, yaani yule mwenye nyota 4?

Kama sijakosea, mkuu wa majeshi ndo huwa jenerali kamili mwenye nyota 4 tu kwa wakati mmoja. Jenerali huyo akistaafu ndo mwingine [labda luteni jenerali] anapandishwa cheo na kuwa jenerali kamili halafu ndo anakuwa mkuu wa majeshi.

Kwa nini iko hivyo? Tumeiga sehemu labda?

Najua India kwa mfano, kuna four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.

Marekani currently wana four star generals 45, kama sijakosea.

Kwa mnaojua, kwa heshima na taadhima zote, naomba mnifute huu ujinga nilionao.

Shukran jazilan .
Bangi ni kitu kibaya sana
 
..nakubaliana na wewe.

..na kukazia hoja yako naomba msome document ya CIA hapo chini kuhusu mabadiliko ya CoS wa Jwtz yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere.



" PRESIDENT NYERERE JULY 10 ANNOUNCED SERIES OF SHIFTS IN TANZANIAN MILITARY COMMAND, AS FOLLOWS:

BRIGADIER TUMAINIEL NDERANGUSHO KIWELU IS NAMED CHIEF OF STAFF OF TANZANIAN PEOPLE DEFENSE FORCE (TPDF), REPLACING BRIGADIER SIMON NKWERA, WHO BECOMES MANAGING DIRECTOR THE NEWLY CREATED RUFIJI DEVELOPMENT AUTHORITY.

COLONEL MIKE MARWA IS PROMOTED TO BRIGADIER AND NAMED COMMANDER OF THE TPDF SOUTHERN BRIGADE, REPLACING BRIGADIER KIWELU.

COLONEL A. SIMBA IS NAMED TANU PARTY SECRETARY OF WEST LAKE REGION (AND, IPSO FACTO, REGIONAL COMMISSIONER), REPLACING COLONEL MARWA.

MR. MOSES NNAUYE, TANU SECRETARY OF SINGIDA REGION (AND NOW CONFIDENTIAL CONFIDENTIAL
IS NAMED CHIEF POLITICAL EDUCATION OFFICER IN THE TPDF, REPLACING COLONEL SIMBA.

2. BEGIN CONFIDENTIAL.
COMMENT: BRIGADIER NKWERA HAS BEEN KICKED OUT TO A MILITARILY INCONSEQUENTIAL JOB, THUS REFLECTING AN APPARENT VICTORY FOR COMMANDER IN CHIEF MAJOR GENERAL ABDULLAH TWALIPO, WITH WHOM NKWERA HAS BEEN QUARRELING FOR SOME TIME, THOUGH WE DO NOT YET KNOW WHOLE STORY.

KIWELU IS DISTINCTLY A RISING YOUNG STAR, AND PRESUMABLY A PROTAGE OF TWALIPO. HE WAS A LIEUTENANT COLONEL COMMANDING THE FOURTH BATTALION AT NACHINGWEA WHEN HE WAS JUMP-PROMOTED TO BRIGADIER AND NAMED COMMANDER OF THE SOUTHERN BRIGADE LAST FEBRUARY 9. PREVIOUSLY HE HAD SERVED AS COMMANDER OF THE MONDULI TANU MILITARY ACADEMY.

IT IS NOT KNOWN WHY A NEW TANU SECRETARY (REGIONAL COMMISSIONER) HAS BEEN NAMED FOR WEST LAKE REGION. THIS REGION, WHICH BORDERS ON UGANDA, IS CONSIDERED MILITARILY AND POLITICALLY SENSITIVE, AND ITS LEADERS ARE CHOSEN WITH MORE THAN USUAL CARE. "

cc Nyani Ngabu, Pascal Mayalla

Vyeo hivi vinaweza kwenda haraka kutokana na missions muhusika alizo zikamilisha
 
Sidhani kama italeta picha mbaya.

Naona ni sawa tu.

La sivyo, wangeweka utaratibu wa Chief of Staff kuwa ndo next in line....

Kwa sasa inafanyika hivyo kiutamaduni tu, si kisheria.
Jeshi lina tamaduni yake, hata kama mnacheo kimoja lakini kuna njia nyingi za kupata seniority.
1)Nani kaanza kupata cheo,

Mkishindwa kupata seniority mna endelea.
2) NA ni mkubwa kuliko mwingine.

Mkishindwa kupata seniority yaani mnafanana kwa yote hayo
3) Nani ameanza kuingia Jeshini kabla ya mwenzake.

Kwa hiyo kwa utamaduni wa Jeshi lazima patapatikana mkubwa tuu.
 
Jeshi lina tamaduni yake, hata kama mnacheo kimoja lakini kuna njia nyingi za kupata seniority.
1)Nani kaanza kupata cheo,

Mkishindwa kupata seniority mna endelea.
2) NA ni mkubwa kuliko mwingine.

Mkishindwa kupata seniority yaani mnafanana kwa yote hayo
3) Nani ameanza kuingia Jeshini kabla ya mwenzake.

Kwa hiyo kwa utamaduni wa Jeshi lazima patapatikana mkubwa tuu.
Nakubaliana nawe.
 
Kwa US ndivyo ilivyo , kwa developing countries kuna tatizo NN. Hapa kuna promotion and demotion at the same time. Kiongozi anayeteua hatakuwa comfortable kwasababu haelewi kama kuna 'reservations' katika military brass , kitu ambacho hakuna anayekitaka.

Unakumbuka Nigeria? The master mind of '' coup de tat ' kuanzia Yakub Gowon, Murtalla Muhamed etc alikuwa Sani Abacha. Mwisho akaona isiwe tabu ni zame yake!

Hakuna sheria ila kwa kiongozi yoyote ili awe na amani lazima awe na watu anaokuwa 'confotable' nao

In fact CoS ndiye the next kwa kuangalia merits lakini je, kiongozi anayefanya ''appointment' yupo comfortable?

NN unaangalia zaidi merits kama wanavyofanya huko US, lakini US mambo mengi yanafanyika katika jeshi
Kwa developing countries kuna merits na appointment. Hapa usisahau appointment ni kumpa mteuzi 'amani' ya kutafuta mtu wa kufanya naye kazi.
Kwa nchini kwetu Tanzania kwa muda mrefu serving CoS ndio wamekuja kuwa CDF kama umri unamruhusu, mara anapo staafu CDF.
 
TPDF - Tanzania People's Defense Force ndiyo JWTZ - Jeshi la Wananchi wa Tanzania, JKT iko ndani ya TPDF (JWTZ), hili ndilo Jeshi la Ulinzi la Tanzania.

Hayo yaliyobaki, yaani Police Tz, Tanzania Prison (Magereza), nk, ni majeshi yanayohusika zaidi na usalama wa raia.

Hapa tuna "ULINZI" na "USALAMA".

Ndiyo maana, Rais ni Amir Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ULINZI na USALAMA.

CDF - Chief of Defense Force, ni kwa Jeshi la Ulinzi (Defense Force) tu.

Wengine ni IGPs, yaani Inspector General of Police & Prison.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani Ng'wale

Nimekuelewa kwa uzuri sana. Lakini ningelipenda kufahamu uzito kwa mlolongo (vikosi) kwa nguvu ya uwajibikaji wa majeshi yote ya ulinzi na usalama. Mfano, 1. JWTZ 2. Traffic 3. Mgambo | Mfano tunavyolinganisha vilabu like 1. Kagera Sugar 2. African Lyon 3. Arsenal and co.
 
..wakati wa mwalimu nyerere, mwinyi, mkapa, mkuu wa majeshi alipobadilishwa, mnadhimu mkuu naye alibadilishwa.

..lakini mnadhimu mkuu aliweza kubadilishwa, bila ya mkuu wa majeshi kuwa amebadilishwa.
Elezea kwa upana, mara zote kwa tulivyo zoea nchini, yakifanyika mabadiliko ya CDF na CoS hubadilika. Na hii ni kwa kuwa Ma CoS ndio huwa CDF, kwa hiyo nafasi ya CoS huwa wazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom