Current four star Generals in Tanzania

Ngoja nikutoe tongo tongo, Brigadier akifariki jeneza lake linatakiwa libebwe na mabregadier wenzake. Je vipi kwa Commander in chief?
Iko namna ila tu hujui kujieleza!

Ulitaka Mpambe wake kwenye masiba/ mazishi ahusike akiwa kavaa kaunda suit ama taxedo nyeusi wakati kwa heshima yale ni mazishi ya Kijeshi!
 
Sababu za kiuchumi na upana wa jeshi, kuanzia manpower mpaka operations za kwetu sio sisi tu hata majirani nao wapo hivyo.
 
Muundo
Uchumi
Nguvu.
 
JWTZ =TPDF. Majeshi Tz ni haya
1: Jeshi la nchi kavu
2: Jeshi la anga
3: Jeshi la majini
Tz inatumia term military badala ya army kwa sababu.
Wapiganaji ni wazalendo tu hakuna wapiganaji wa kigeni.
Army inabeba wapiganaji wa kigeni na wa nchi husika. Mfano us.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Wasukuma ni watu poa sana, ila ndiyo hivyo tunapakwa matope kwa sababu za kijinga kabisa tena watoto wa chuo.
 
Ok, basi nitajie hata watatu watatu kutoka katika hizo nchi ambao ni active four star general, taja hata watatu tu kutoka Burundi!
Majina siyakumbuki ninachokumbuka kila vikundi vya waasi walikuwepo majenerali achilia mbali waliopo katika serikali zao.
 
Junior NCOs koporo usu mpaka Ssgt.
Senior NCOs ni kwa Warrant officers 1 na2
Senior officers inaanzia Kanali na kwenda juu. Angalia ADC wa Mama na wa Mwinyi jr ujifunze kitu kwa Marais hawa wawili katika nchi moja.

Junior NCO ni Lance Koplo na Koplo

Sajenti ni Senior NCO kumbuka Mess zimepangwaje kivyeo , Sajenti anakula Mess moja na mastaff sajenti na Makolokolo wote

Kuanzia Meja mpaka kanali hawa ni senior officers, meja hawezi pewa adhabu ya kifungo na CO

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Hivyo vyeo vinaashiria ukubwa wa jeshi. Yaani kila cheo, hata koplo mwenye V 2 ni kiongozi wa kikundi fulani ndani ya jeshi.
Hivyo ukubwa wa jeshi ndiyo unaamua vyeo. Kama ulivyosema US wana hao 45, maana yake ni kuwa jeshi lao limetuzidi ukubwa mara 45.
 
Gari lake nyota 1
 
Luteni usu mpaka kapteni ni junior officers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…