Ndio maana nasema hii elimu ya cpa ni elimu ya kijinga, sasa kama vilaza kama wewe mnapata cpa kuna haja gani ya kua na hiyo elimu.
Kwa maelezo yako ulivyo mjinga basi zifutwe taaluma za uhasibu vyuo vikuu, maana kama unaweza kua mhasibu bila kwenda chuo kikuu, unaweka taaluma ya chuo kikuu ili iweje? Ni sawa na bodi ya uhandisi ianzishe mfumo wa mitihani, kwamba ufanye tu mitihani ufaulu hata kama hujasomea uhandisi chuo kikuu, ili mradi umefaulu mitihani basi wewe ni mhandisi, sasa kutakua na haja gani ya kua na taaluma za uhandisi vyuo vikuu.
Unaongelea kufundisha ndio unajiona mjanjaaa? Kukarili maswali ya acca na majibu yake na kufundisha vilaza wenzio ndio unajiona mjanja, hovyo kabisa.
Ndio maana nasema huu mfumo wa cpa umesababisha vilaza na wapenda shortcut kama wewe kuskip academic qualifications na kujikita kwenye kukarili maswali ya acca/ireland cpa na majibu yake kisha kufaulu na kujiita wahasibu.
Cpa ya sasa hata kama umemaliza darasa la saba, ili mradi uweze kukarili maswali na majibu ya mitihani ya cpa, ukifaulu unakua certified public accountant. Ofisini tuna wahasibu vilaza kama wewe, hawajui chochote, hata kujenga hoja tu na kufanya financial analysis hawawezi ila wana cpa, wanabaki kunigambia cpa,ucenge.