mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Mkuu kwenye kazi hizi ulizotaja zina hatari ndani yake(hazardous, fatal) ndio maana hakuna shortcut yake.Hii kitu niliwahi bishna na mtu hadi nikampia mawe. Mbona Mainjinia, wanasheria na madaktari hawana huu ujinga
Ukiwa mwanasheria feki utawahukumu/kuwafunga wasio na hatia, ukiwa Daktari feki utawaua wagonjwa kwa kuwapa tiba isiyo sahihi, ukiwa Engineer feki utaangusha majengo na kuua watu.
Lakini taaluma ya mahesabu ya pesa hatari yake ni ya kukimbia na mapene tu na kula maisha mbele kwa mbele.