Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Na ni Afrika ambapo tunaona uwezo wa mtu kupitia makaratasi na si utendaji. Ukiomba kazi kampuni ya mzungu Interview yake itajikita kwenye uwezo wa kufanya ile kazi anayotaka kukupa na anaweza hata asiangalie hivyi vyeti vyakoElimu ya Tanzania haiishi vituko.
Ndio maana hatuendelei. Maana flaw kwenye mifumo yetu ya elimu ni mingi mno.
Ndio maana unashangaa, unakua na CPA ya Tanzania, ukitaka kufanya mitihani ya ACCA hupati exemptions kwa kua CPA yetu haieleweki.
Kwa wahasibu watanielewa, ni rahisi Tanzania kupata CPA hata kama wewe sio mhasibu na huna taaluma ya uhasibu, ili mradi tu ufaulu mitihani yake.
Yaani unaweza kua Certified Public Accountant huku huna academic qualification ya accountancy.
Kwa nchi nyingine kitu cha kwanza kupata CPA ni lazima uwe na academic qualifications then uombe kua certified. Nchi nyingine lazima uwe na module hours nyingi sawa na masters ili uwe eligible na CPA.
Huku mwetu unaweza kumaliza form four, ukaanza na atecs hadi CPA.
Sasa imetokea shida ofisini kwetu, wanataka senior accountant, awe na bachelor degree na CPA, aliyepo ana CPA ila hana bachelor degree, ni form four leaver, aliajiriwa kama accounts clerk.
Ikija kigezo cha CPA anayo, ikija kigezo cha bachelor degree hana. Unajiuliza mtu anakuaje certified public accountant huku hana academic qualification ya accountancy?
Ni sawa na mtu kua registered electrical engineer huku hajasoma hata certificate ya umeme. Mradi tu amelipia na amefaulu mitihani.
Certification ni profession, na ili uwe professional lazima uwe na academic qualifications kwanza. Hapa Bongo unakua certified profession without academic qualifications. Mambo ya hovyo kabisa.
Elimu ya Tanzania haiishi vituko.