Virus sio wa aina moja na wako sampuli nyingi. Tabia yao ya kujibadilisha-badilisha kulingana na mazingira au hali wanayokabili inawafanya wawe completely irrepressible kiasi kwamba hayo mambo ya ufukizaji ni Myths tu.Unatakiwa usome zaidi mkuu badala ya kuandika mawazo yako. Namimi naomba majibu ya hili swali?
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.