Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,368
Before you try Kujifukiza, know that the virus is stable at 56°C for 30 minutes. Now, can your throat and Lungs survive 56° C for 30+ Minutes?

• Human Body Temperature is 37°C
• Human skin (which is tough) takes 5 minutes to get burnt at 48° C

Screenshot_20200501-220711_Twitter.jpeg
 
Hakuna kinachowauwa covid kwasababu wenyewe siyo viumbe hai. Ni virus, siyo kama bacteria.

Inaweza kumsaidia mgonjwa wa covid-19 kwa kuondoa mucus na incubators wa hao covid wakiwa bado kwenye koo kabla hawajaenda kwenye mfumo wa hewa hadi kwenye mapafu. Wakifika huko kufukiza haisadii.

Usijeweka mawazo kuwa inatibu utafia humo ndani.

ikifika kwenye mapafu, kujifukiza ni hatari zaidi haisadii.
 
Kujifukiza, kujifusha au steaming ni simple technique ya ku ease mafua na ku boost immune stem. That's all. Na inatumika dunia nzima si Tanzania tu.

Sijawasikia wala kuwasoma pahala popote kuwa kujifukiza kunaua virus au kunatoa virus kwenye lungs.

Tusizushe uongo.
 
Hamjui kuwa kujifukiza ni tiba ya tangu asili na sikuwahi kusikia kuna mtu alikufa kwa kufanya hilo? Siongei kwa habari ya kuua virusi bali kitendo cha kujifukiza.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Mbele ya CCM chochote kinawezekana wewe angalia kuanzia akili za baba na wanae kina Bashite,S abaya na Chalamila and the like.

Wew angalia Sasa hivi air Tanzania zimegeuzwa Cargo flight....yaani kwenye passanger's cabin wanajaza mizigo halafu wanajitapa mbele ya camera.
 
Kujifukiza, kujifusha au steaming ni simple technique ya ku ease mafua na ku boost immune stem. That's all. Na inatumika dunia nzima si Tanzania tu.

Sijawasikia wala kuwasoma pahala popote kuwa kujifukiza kunaua virus au kunatoa virus kwenye lungs.

Tusizushe uongo.
wewe ni bingwa wa spin
 
Kujifukiza, kujifusha au steaming ni simple technique ya ku ease mafua na ku boost immune stem. That's all. Na inatumika dunia nzima si Tanzania tu.

Sijawasikia wala kuwasoma pahala popote kuwa kujifukiza kunaua virus au kunatoa virus kwenye lungs.

Tusizushe uongo.
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
 
Covid hawafi kwa kujifukiza.
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
 
Hamjui kuwa kujifukiza ni tiba ya tangu asili na sikuwahi kusikia kuna mtu alikufa kwa kufanya hilo? Siongei kwa habari ya kuua virusi bali kitendo cha kujifukiza.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
 
Viol,
Unatakiwa usome zaidi mkuu badala ya kuandika mawazo yako. Namimi naomba majibu ya hili swali?
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa.

Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
 
Post tweet ya Naibu Waziri wa Afya Dr. Ndugulile
Alitahadharisha kuhusu kujifukiza, wewe unatulisha matango pori shwain kabisa.
Kujifukiza, kujifusha au steaming ni simple technique ya ku ease mafua na ku boost immune stem. That's all. Na inatumika dunia nzima si Tanzania tu.

Sijawasikia wala kuwasoma pahala popote kuwa kujifukiza kunaua virus au kunatoa virus kwenye lungs.

Tusizushe uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom