Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Korona imeanika upumbavu wa Marais, Mashekhe na Manabii wa Kilokole. Yani Wanagongana kama vyombo kabatin. Madaktari wa kibongo nao wanakazi ya kufowadi text za ushauri tu badala ya kutuambia dawa ni nini
 
Unazeeka vibaya!Kujifusha sio tiba ya chochote!Ni sawa na mtu mwenye malaria kunya panadol kupunguza joto la mwili!Hakuna ushahidi wowote wa kujifusha kuwa kunaongena immunity ya mwili!Wataalamu wanakwambia kula vizuri kuongeza kinga ya mwili,hasa vitamin c!Sasa we komaa na kujifusha!

Mkuu

Joto la mwili ni ishara njema kabisa, kuwa mwili unapambana na foreigners, joto la mwili ni reaction ya kuwa kuna vita inaendelea na mwili unasimamisha majeshi yake

Wakati joto liko juu, unapojifukiza au kunywa maji ya moto unaongezea external force ya mwili kupambana na adui

Kujifukiza kumekuwepo enzi na enzi na binafsi nimefukizwa nikiwa naumwa malaria, kichwa na mafua kijijini mbeya miaka ya 1987


Ni tiba inekuwepo for centuries all over africa, baadhi ya nchi za asia na america ya kusini

Sasa kama unagoma kujifukiza kwa sababu JPM alisema, well ni tatizo lako
 
Waberoya,
Yaani uumwe malari halafu ujifukize kuongeza joto la mwili wakati tayari liko juu? Mbona huwa tunaona watu wenye joto kali wanawekewa barafu kushusha joto la mwili?Ukiniambia mafua sawa,ila sio homa!
 
Mbele ya CCM chochote kinawezekana wewe angalia kuanzia akili za baba na wanae kina Bashite,S abaya na Chalamila and the like. Wew angalia Sasa hivi air Tanzania zimegeuzwa Cargo flight....yaani kwenye passanger's cabin wanajaza mizigo halafu wanajitapa mbele ya camera.
Kumbe mmeanza siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza kumsaidia mgonjwa wa covid-19 kwa kuondoa mucus na incubators wa hao covid
Inaondoaje mucus na incubators wa Covid??

Inawasukuma tumboni au inawatemesha nje ya mdomo na pua???

Na huo mvuke at 100 Celcius kwa nini haukuunguzi ???
 
Yaani uumwe malari halafu ujifukize kuongeza joto la mwili wakati tayari liko juu?Mbona huwa tunaona watu wenye joto kali wanawekewa barafu kushusha joto la mwili?Ukiniambia mafua sawa,ila sio homa!

Kijana wewe, kuongezea joto la mwili technic kipindi cha corona, expert says
 
Waberoya,
Yaani uumwe malari halafu ujifukize kuongeza joto la mwili wakati tayari liko juu? Mbona huwa tunaona watu wenye joto kali wanawekewa barafu kushusha joto la mwili?Ukiniambia mafua sawa,ila sio homa!

Mkuu soma usipanic

Ile homa ni faida kwa muda fulani, na si faida kwa muda fulani

😂😂😂
 
Mbele ya CCM chochote kinawezekana wewe angalia kuanzia akili za baba na wanae kina Bashite,S abaya na Chalamila and the like.

Wew angalia Sasa hivi air Tanzania zimegeuzwa Cargo flight....yaani kwenye passanger's cabin wanajaza mizigo halafu wanajitapa mbele ya camera.
Jukwaa la madaktari siasa za nini lakini mbona nyie watu vinywa vyenu vinawaza siasa tu?

Pumbavu mnaboa sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu

Joto la mwili ni ishara njema kabisa, kuwa mwili unapambana na foreigners, joto la mwili ni reaction ya kuwa kuna vita inaendelea na mwili unasimamisha majeshi yake

Wakati joto liko juu, unapojifukiza au kunywa maji ya moto unaongezea external force ya mwili kupambana na adui

Kujifukiza kumekuwepo enzi na enzi na binafsi nimefukizwa nikiwa naumwa malaria, kichwa na mafua kijijini mbeya miaka ya 1987


Ni tiba inekuwepo for centuries all over africa, baadhi ya nchi za asia na america ya kusini

Sasa kama unagoma kujifukiza kwa sababu JPM alisema, well ni tatizo lako
Kweli mkuu zamani nakumbuka tulikuwa tunajifukiza endapo kama unaumwa homa joto limepanda au kama mafua,tunachemsha maji tunaweka majani ya chai na kujifukiza!! Hiyo ni miaka ya 1970's-1990's!! Baada ya kuingia Milenium mambo mengi yakwa digitale.
 
Mkuu upo vizuri sana nishawahi kupata desa lako la kutibu mawe ndani ya figo,nikmpatie mtu hayo maelezo yake na ni kweli ilimsaidia akapona mpaka sasa hana tatizo lolote hiyo ilikuwa 2010's
Asante sana kwa kuleta ushuhuda wako kuwa Thread zangu zinawasaidia watu ingawa hukuniambia kipindi ulicho mpa huyo mtu ushauri unakuja kuniambia muda umeshapita mrejesho siwezi kukulaumu ndio tabia zetu sisi wabongo.
 
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
Mkuu umeambiwa kujifukiza kunaongeza kinga ya mwili na kufungua mfumo wa upumuaji...kinachotokea kinga ya mwili ikiwa vizuri basi itapambana na virus na virus wataondoka...ndo mana unasikia wagonjwa wa corona wanapona na hao wa Surua kama unavyosema...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jisome tena, umeandika hivi "mfano unapika kwa kutumia kuni ndani ya nyumba wakati zinapoungua moshi utajaa na chances kila mtu aliendani atakohoa".
Nadhani mnapishana kidogo kwenye kuelewana..wote mko sahihi,,, jamaa ametolea mfano wa jiko la moshi( ni mfamo siyo uhalisia wa namna ya kujifusha) mimi nimemuelewa na hapishani na hoja yako kabisa...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kwa kuleta ushuhuda wako kuwa Thread zangu zinawasaidia watu ingawa hukuniambia kipindi ulicho mpa huyo mtu ushauri unakuja kuniambia mud aumeshapita mrejesho siwezikukulaumu ndio tabia zetu sisi wabongo.
Nilikuwa sina account kipindi hiko halafu baada ya kufungua 2011 nikawa pia siingii mara kwa mara!!
 
Asante sana kwa kuleta ushuhuda wako kuwa Thread zangu zinawasaidia watu ingawa hukuniambia kipindi ulicho mpa huyo mtu ushauri unakuja kuniambia mud aumeshapita mrejesho siwezikukulaumu ndio tabia zetu sisi wabongo.
Mkuu kuna dawa ya asili ya matatizo ya hay fever?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom