Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
unajua kuna watu huitwa butler na kazi yao ni kusimama pembeni ya meza wakati wa kula na kumimina vinywaji ? wamesomea kabisa
yani mtu unasimama kama masaa mawili kusubiri wenzio wamalize kula au kunywa
Huyo anaitwa Butler, je na yule mbemba pombe barabarani kwa ajili ya mlevi anaitwaje??, je naye kasomea kwa kazi hiyo??!