The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Ni yule bondia mixed martial arts.
Ni yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Wewe ni takataka 🚮Yaani mtu mweusi ndiye mbeba POMBE ya huyo Nyang'au?!!😱---- hii ni dharau kubwa sana, huyo mtu mweusi hajitambui na hajui ; The so called "whiteman superiority", damn shit!!.
Naona hilo giant la nyuma hapo lingefaa kuwa bondia.Ni yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Ni yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Aliobeba glass sio babutale kweli?Ni yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Dharau gani mwenzio yupo kaziniYaani mtu mweusi ndiye mbeba POMBE ya huyo Nyang'au?!!😱---- hii ni dharau kubwa sana, huyo mtu mweusi hajitambui na hajui ; The so called "whiteman superiority", damn shit!!.
Nilidhani huyo jamaaa mmbeba pombe ni Babu tale mbunge wetu uku kwa waruguruNi yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Mtu mweusi ndio nini? Wenzio wapo kazini, tena hao unaweza kuta ni wataalam kabisa, sio washkaji. Mpaka anakupa umbebe kinywaji ni trust ya juu katika kazi.Yaani mtu mweusi ndiye mbeba POMBE ya huyo Nyang'au?!!😱---- hii ni dharau kubwa sana, huyo mtu mweusi hajitambui na hajui ; The so called "whiteman superiority", damn shit!!.
Mtu mweusi ndio nini? Wenzio wapo kazini, tena hao unaweza kuta ni wataalam kabisa, sio washkaji. Mpaka anakupa umbebe kinywaji ni trust ya juu katika kazi.
Kama kwako pombe ni shida, nini kinakufanya wewe ukereke mwenzio akibeba au akitumia, tena yupo Uingereza.Be specific, kinywaji aina ya POMBE!!, , Kwahiyo huyo ndugu mweusi ni mtaalamu (professional) wa kubeba glass za pombe??!
Kama kwako pombe ni shida, nini kinakufanya wewe ukereke mwenzio akibeba au akitumia, tena yupo Uingereza.
Duh. Huyo hapo nyuma mweupe ni mtu?Ni yule bondia mixed martial arts. View attachment 1974515View attachment 1974516View attachment 1974517View attachment 1974518
Nikweli nilikuwa mnywaji(sio mlevi) miaka 3 nyuma, nimeacha na sijawahi kukereka kwa chochote afanyapo mtu ambacho mimi sifanyi na hakivunji sheria. Nakushauri jali mambo ufanyao, ishu za watu wengine ambazo huzipendi lakini ni hali na hazi gusi maisha yako achananazo kwa ajili ya ustawi wa moyo na ubongo wako.Samahani mkuu, naona imekugusa kwakuwa wewe ni mlevi kama jinsi ilivyonigusa ninapoona ulevi ukitukuzwa namna hiyo.