Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Hahahahaha wanaume wa dar hawa , naukana u Tanzania na lukuvi achukue mijengo yangu
 
Highest GPA haiwezi kuwa kipimo cha chuo coz chuoni hamna nationwide exams, ata chuo kikiamua kuwapa mitihani mirahisi wanafunzi wao watapata gpa kubwa. So cku nyngne uwege unafikiria
 
Vipi mleta mada bado una mzuka na hii mada? Hujistukii tangu jana kila anaye comment anakupinga au kukudhihaki bado huoni kama uko wrong?
Angalia tangu jana umepata like moja it means mada yako haina content ya maana just delete it bro
Wanapinga wote including you ni wale wale wenye GPA za chuma Ulete pole mkuu
 
Wanapinga wote including you ni wale wale wenye GPA za chuma Ulete pole mkuu
Hahahaaa we GPA yangu unaijua?
Ulikosa sifa za kusoma public university kwa kushindwa kucompete wakati wa udahili sasa unataka tuamini kua mhitimu wa Saut bukoka ni bora kuliko mhitimu wa DIT
Hahahaaa pole brother kama hukupata nafasi kwenye good public university jua haukua competent kua mpoleeee
Mi nilipata GPA inayoniruhusu kua hata Tutorial assistant wa UDSM sijui mimi nawewe tukiomba ajira UDSM we umetoka Teofilo Kisanji eti upewe ajira mi nikose hata kama una GPA 4.5 mi niwe GPA 4.0 bado utaachwa trust me
 
Hahahaaa we GPA yangu unaijua?
Ulikosa sifa za kusoma public university kwa kushindwa kucompete wakati wa udahili sasa unataka tuamini kua mhitimu wa Saut bukoka ni bora kuliko mhitimu wa DIT
Hahahaaa pole brother kama hukupata nafasi kwenye good public university jua haukua competent kua mpoleeee
Mi nilipata GPA inayoniruhusu kua hata Tutorial assistant wa UDSM sijui mimi nawewe tukiomba ajira UDSM we umetoka Teofilo Kisanji eti upewe ajira mi nikose hata kama una GPA 4.5 mi niwe GPA 4.0 bado utaachwa trust me
Sasa mkuu kwa Akili yako naweza kusoma uharo wote huu Upo competent ata kusumurize hujui. Mweee
 
Mwanzon nilidhan umeandika kiingereza cha namna hii kama utan yan satire kukejel huu ujinga wa GPA unaoendelea lakin sasa nimegundua ulichokiandika umemaanisha.

Brthr una kiingereza kibovu sana wala sikutanii. Kama kwel ww ni graduate wa chuo kikuu hii ni hatar co kidogo kwa sababu hicho kiingeleza ni kibovu kinaonekana nje nje hata kwa mwanafunz wa kata anayekijua kikawaida sana.

Umekosea mwanzo mwisho na ndio maana mm nimeshindwa hata nianzie wap kukueleza makosa.

Umeandika kingereza kibovu sana mpaka hoja yako ya GPA haizungumzik bal hoja kuu hapa ni ubovu wa kiingeleza ndi umevuta hisia za wachangiaji.

Mkuu nakushauri tafuta namna yoyote mzur ili upate kunolewa kingereza chako. PAMOJA MKUU
 
Mwanzon nilidhan umeandika kiingereza cha namna hii kama utan yan satire kukejel huu ujinga wa GPA unaoendelea lakin sasa nimegundua ulichokiandika umemaanisha.

Brthr una kiingereza kibovu sana wala sikutanii. Kama kwel ww ni graduate wa chuo kikuu hii ni hatar co kidogo kwa sababu hicho kiingeleza ni kibovu kinaonekana nje nje hata kwa mwanafunz wa kata anayekijua kikawaida sana.

Umekosea mwanzo mwisho na ndio maana mm nimeshindwa hata nianzie wap kukueleza makosa.

Umeandika kingereza kibovu sana mpaka hoja yako ya GPA haizungumzik bal hoja kuu hapa ni ubovu wa kiingeleza ndi umevuta hisia za wachangiaji.

Mkuu nakushauri tafuta namna yoyote mzur ili upate kunolewa kingereza chako. PAMOJA MKUU
Umeandika nini apa?
 
Hongera nawe pia kwa kimombo ulichotumia. Inaonekana nawe ni zao la "private universities" :thumbdown: :thumbdown:
 
Back
Top Bottom